Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Biashara ya udalali wa kisiasa ndo mangi anajua.Mmachame na kende zake ameamua kumuinamia huyu Jezebel.
Biashara ya udalali wa kisiasa ndo mangi anajua.Mmachame na kende zake ameamua kumuinamia huyu Jezebel.
Biashara ya udalali wa kisiasa ndo mangi anajua.Mmachame na kende zake ameamua kumuinamia huyu Jezebel.
Mbowe kamuinamia sasa anakula mema ya nchi tu akisubiria Lissu anyongwe na yeye arudishiwe kile kikoba chakeView attachment 3451385
Young nigga get moneyClick to expand...
Bifu za jinsia hizoUmmy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Kila mtu na sababu yake. Mwingine familia ilikataa mwanamtandao asitoe pole kwenye msibaMbona wamekatwa wengi tu
Wajumbe walimkaanga!Hivi Kigwangala imekuaje,hakugombea au?
Katibu mkuu wake kipindi hicho kama sikosei alikuwa Dkt. Gwajima sio?
Hapana alikuwa Dr Chaula jina la kwanza nimelisahau ila ni mwanamke
Mambo yale ya ule mnanii wa kike ni tatizo kwa kwa jinsia ile!, usikute ile story ya kafulagi kuhusu pyjamas is a true story!, hata kile ki fulistopu nacho ni weka kando, tupa kule!.Ummy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Kwani ni swala la idadi ya waliokatwa au swala utaratibu uliotumika?Mbona wamekatwa wengi tu
Walikua wanagombania niniKidoti
hiv yule macmuga wa alikiba si aalipotea south africa?Miaka 15 inamtosha Bungeni Mungu ampatie nini makimuga
Hayo ni maneno yenuUmmy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Hayo ni maneno yenuUmmy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Alikataa kusagwaUmmy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi