TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,548
- 18,669
Msimchafue UmmyUmmy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Msimtungie story
Haiwasaidii wale kumsaidia
Mnamuweka pabaya zaidi