Ummy aligoma kumuinamia Malikia!

Ummy aligoma kumuinamia Malikia!

Ummy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Msimchafue Ummy

Msimtungie story

Haiwasaidii wale kumsaidia

Mnamuweka pabaya zaidi
 
Tanga hatumtaki huyo, Ahsanteni kamati kuu
Tanga kubwa kaka.Mbona wajumbe walimpitisha kwa kishindo.Sema kosa lake ni kuvuja kwa mazungumzo yake akimsimanga mjukuu wa mtume(tofauti na hapo bungeni alikuwa anarudi vizuri tu)
 
Tanga kubwa kaka.Mbona wajumbe walimpitisha kwa kishindo.Sema kosa lake ni kuvuja kwa mazungumzo yake akimsimanga mjukuu wa mtume(tofauti na hapo bungeni alikuwa anarudi vizuri tu)
kamati kuu ndio wenye sauti ya mwisho kwenye chama, nadhani malalamiko ya madudu aliyoyafanya huko kwa wajumbe yamefika kamati kuu na wameyafanyia kazi!
 
Tanga hatumtaki huyo, Ahsanteni kamati kuu
azizi_kindamba-24-08-2025-0001.jpg
 
Makamba, Gwajiboy, Gambo Ummy - waligoma kumsujudia mwanadamu..

Ila Gambo na yeye wacha apitie magumu ili ajifinze kuishi na watu.
 
Ndio maana inaitwa kamati kuu, na ndio maana ipo kwa kazi hiyo.
Hata EL alikatwa na mambo yakaendelea.

Anyway mambo ya CCM tuwaachie wenyewe.

safarini Khartoum Sudan.
 
Ummy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Kawaida wafalme huwa ni jeuri
 
Back
Top Bottom