USHAURI: Wote waliokatwa waje waongeze nguvu kwenye sauti ya wananchi ya NO REFORMS, NO ELECTIONMbona wamekatwa wengi tu
KidotiHivi kile kipindi cha Magufuli, Ummy alikuwa anagombana na nani mpaka Magufuli akasema amewasikiliza kwenye simu?
Yezebeli mwaka huu Chali! HATOBOIMbowe kamuinamia sasa anakula mema ya nchi tu akisubiria Lissu anyongwe na yeye arudishiwe kile kikoba chakeView attachment 3451385
Itakuwa sherehe kubwa kuona nusu mlingoti huku tukiimba parapanda italia parapanda.....Yezebeli mwaka huu Chali! HATOBOI
aliangushwa kura za maoni.Hivi Kigwangala imekuaje,hakugombea au?
nafikiri alikua katibu mkuu wake kipindi hicho...Hivi kile kipindi cha Magufuli, Ummy alikuwa anagombana na nani mpaka Magufuli akasema amewasikiliza kwenye simu?
Yezebeli mwaka huu Chali! HATOBOIMbowe kamuinamia sasa anakula mema ya nchi tu akisubiria Lissu anyongwe na yeye arudishiwe kile kikoba chakeView attachment 3451385
Mmachame na kende zake ameamua kumuinamia huyu Jezebel.
He kumbe?!Hivi kile kipindi cha Magufuli, Ummy alikuwa anagombana na nani mpaka Magufuli akasema amewasikiliza kwenye simu?
nshomile wapi na wapi na TangaTanga hatumtaki huyo, Ahsanteni kamati kuu