Kisa ni kukataa kunyanyaswa!
Wewe mtu unapigwa kama mtumwa sababu tu monita kakuandika jina eti ulikuwa unapiga kelele?
Halafu unaamriwa ushike dawati au ukuta halafu ucharazwe mboko sita, na kabla ya hapo unapapaswa kuona kama umeweka makaratasi kwenye kaptura.
Hapana bana. Siyo mtumwa miye. Ukinigusa kwa nguvu inakurudia, ima fa ima.
Nchi za watu mwalimu hagusi mwana wa mwingine.
View attachment 65945
Maisha ya shule...
Hilo zoezi linafaa kwa afya
Adhabu kubwa zaidi niliyowahi kupata shule ni kufagia
hawa ni std 6 kama si 7.. wanasumbuliwa sana na balehe halafu inaonekana ni watoro sugu na wameanza kuvuta bangi. Safi sana mwalimu kwa kulijenga taifa lenye nidhamu
Uko sawa kabisa mkuu,kwa age group uliyoitaja mitoto mingine huwa inakuwa ni minunda afadhali ya Punda,na usipoipeleka kipundapunda namna hiyo basi ndio inaharibikiwa moja kwa moja,nasema hivyo wa sababu nimefundisha katika shule za msingi miaka mingi iliyopita na walewale niliokuwa nawapa adhabu leo tukionana huwa wananishukuru na tunacheka pamoja...
Adhabu kubwa zaidi niliyowahi kupata shule ni kufagia
hii ndio ilsababisha wanaume wanaojiremba kuwa wachache sana sababu ushababi ulianzia shuleni,tofauti na sasa shujaa ajue kuimba bongo fleva na kupiga viduku.uonevu bwana
hawa kweli hawaheshimu mastaa yaani hawajali cha alonso wala abidali ni kitu cha tofali tu.
kama ndio jana yake ulinyoa nywele lazima utoe mchozi
ukute mkewe kamnyima.kwa sisi tuliopitia jitegemee hiyo ni ndogo sana,hasa siku hiyo umkute bwenge ana hasira zake huko alipotoka......
hii ndio ilsababisha wanaume wanaojiremba kuwa wachache sana sababu ushababi ulianzia shuleni,tofauti na sasa shujaa ajue kuimba bongo fleva na kupiga viduku.
halafu sio inazidi inajaa.Umeona eeh..........kweli bana ndiyo maana mishoga inazidi, shule gani adhabu unayopewa eti uandike sentensi mbili au kuvunja biskuti