Umewahi kusikia nini kuhusu basi hizi?

Umewahi kusikia nini kuhusu basi hizi?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,129
Reaction score
9,678
Haya ni mabasi mazuri sana, je umewahi kusikia nini kuhusu basi hizi?
8A1D6ED7-770F-4B38-A6D8-DF29FEA9390C.jpeg
 
Mmiliki anamuliki pia migodi huko kanda ya kati
 
Wanadai za Mwigulu..ila kama mnavyojua kampuni inaweza kuwa na basi nyingi kwa jina la mfanyabishara asiye maarufu..lakini kuna mafisadi humo wana za kwao kadhaa..ndio maisha yalivyo!
 
Ngoja niendelee kusoma comments labda ntaelewa...
 
Back
Top Bottom