Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Picha ya mtoa mada?Picha tafadhali mkuu
Picha ya chuo cha ufundi?
Picha ya Dr?
Picha ya nini?
Picha ya mtoa mada?Picha tafadhali mkuu
Kwan kile chuo si cha kwake? Mi nilijua ndo mmiliki mwenyeweDr. Matomora Kafikuzwa KIUMA baada ya kuipambania kwa miaka mingi
Lakin Dr matomora ilitakiwa Hatoke kwa heshima KIUMA sio kama alivyotoka hadi kufunguliana kesi.Kwan kile chuo si cha kwake? Mi nilijua ndo mmiliki mwenyewe
Sasa panayumba sana,but mzee anasaidia remotelyLakin Dr matomora ilitakiwa Hatoke kwa heshima KIUMA sio kama alivyotoka hadi kufunguliana kesi.
Yametokea wapi tena haya jamaa?Ulongelage nyoni Mwagito wibanywaaa!!!Siyo kama kina Ridhiwani, baba mwizi na rais lakini bado dogo anauza unga kwa kutumia jina la baba yake.
Mzee alikuwa vizuri sema sasa alichokosea kukosana na Ma sponsor wenyewe ,angetaka suluhu pande zote mbili asifukuzwa paleSasa panayumba sana,but mzee anasaidia remotely
Aisee...Imani gani inakataa majiHaaaaahaaaaaa.Jirani yangu huyo. Kuna kijiji kinaitwa Twendembele, amepeleka mradi wa maji. Jamaa yuko vizuri saaana. Kijiji cha Ligunga waliukataa mradi wa maji kwa itikadi ya kiimani. Kwa sasa wanajuta.