NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 10,001
- 21,298
Kuna noti nilipiga majuzi za ghafla nyingi kiasi hata sikuamini ni hapo kazini kwetu!Kwenye maisha kuna wakati tunakutana na vishawishi ambavyo kwa wakati huo unaweza kuona haina madhara lakini ukifikiria kesho yako, unaamua kutemana nacho tu,
Nakumbuka nikiwa nafanya kazi ya houseboy ile nyumba kulikuwa na mtoto wa kike anasoma kidato cha 3,
Sasa yule mtoto alitokea kunizoea kupita kiasi mpaka nyumbani wakiwa hawapo anakuja getoni kwangu, tunacheza kitandani fresh tu, alikuwa mzuri na nilimpenda,
Kuna siku nikadhamiria nifanye jambo lakini tukiwa kitandani nikajaribu kumvua nguo, yeye akawa ametulia tu, lakini nilivofikiria tu kuhusu 30 akili ikarudi nikaghairisha na sikutaka tena mazoea nae kabisa,
Maana ndo kwanza alikuwa amevunja ungo.
Sasa Bas nilisha waza kuwa iwapo nikizipata nitashiriki kwenye ujenzi wa hekalu Fulani hivi aiseh,Tena kiwango ambacho kilijiandika nafsini!ndicho nilipanga nitoe!Baada ya kupata fedha tu nikaanza kutaka kushusha kiwango Cha kutoa,niloanza kupigana na nafsi Hadi nikashinda aiseh!nikatuma dogo akaenda kutuma!!
Baada ya hapo Hela ziliolzobaki zimepiga mzigo was maana yaani kazi iliofanyika ni kubwa kuliko maelezo!!
Nitamaliza mwaka nikiwa na Amani tosha kabisa!!