Umewahi kumshinda shetani katika jambo lolote?

Umewahi kumshinda shetani katika jambo lolote?

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
852
Reaction score
2,976
Kwenye maisha kuna wakati tunakutana na vishawishi ambavyo kwa wakati huo unaweza kuona haina madhara lakini ukifikiria kesho yako, unaamua kutemana nacho tu,

Nakumbuka nikiwa nafanya kazi ya houseboy ile nyumba kulikuwa na mtoto wa kike anasoma kidato cha 3,

Sasa yule mtoto alitokea kunizoea kupita kiasi mpaka nyumbani wakiwa hawapo anakuja getoni kwangu, tunacheza kitandani fresh tu, alikuwa mzuri na nilimpenda,

Kuna siku nikadhamiria nifanye jambo lakini tukiwa kitandani nikajaribu kumvua nguo, yeye akawa ametulia tu, lakini nilivofikiria tu kuhusu 30 akili ikarudi nikaghairisha na sikutaka tena mazoea nae kabisa,

Maana ndo kwanza alikuwa amevunja ungo.
 
Ina mana kusingekuwa na kufungwa miska 30 ungepiga? Hapo hujamshinda shetani bali umeogopa kuchezea mvua 30. Kuzini hata kwa kufikiri no dhambi sembuse wewe uliyekula hadi denda?
 
Kuna duka nilikua nakwenda kununua mahitaji kila Mara, moja ya wahudumu wa mle ndani alikua na tako la kufa mtu halafu alikuwa akinichangamkia kupindukia, baada ya kulipa alikuwa ananibebea mzigo wangu Hadi kwenye gari. Huyo msichana alikua ananipa shikamoo, hii shikamoo ndio iliyofanya niahirishe kutia neno.

Sasa siku mtoto wa Kaka anakwenda kututambulisha ukweni kwake nilikuta yule msichana ndio huyo mchumba wa mtoto wa Kaka. Kumbe yule mtoto alikua anajua Mimi Ni baba mkwe ndio Ile shikamoo na heshima zote.

Ukiwa Dar, mwanamke akikupa shikamoo, hebu punguza mihemko jiulize hii shikamoo ni ya kweli au .....maana Dar hatusalimiani Kama mikoani.
 
Kuna duka nilikua nakwenda kununua mahitaji kila Mara, moja ya wahudumu wa mle ndani alikua na tako la kufa mtu halafu alikua akinichangamkia kupindukia, baada ya kulipa alikua ananibebea mzigo wangu Hadi kwenye gari. Huyo msichana alikua ananipa shikamoo, hii shikamoo ndio iliyofanya niahirishe kutia neno.
Sasa siku mtoto wa Kaka anakwenda kututambulisha ukweni kwake nilikuta yule msichana ndio huyo mchumba wa mtoto wa Kaka. Kumbe yule mtoto alikua anajua Mimi Ni baba mkwe ndio Ile shikamoo na heshima zote.
Ukiwa Dar, mwanamke akikupa shikamoo, hebu punguza mihemko jiulize hii shikamoo ni ya kweli au .....maana Dar hatusalimiani Kama mikoani.
Hapa kweli ulimgaragaza ibilisi mkuu
 
Kuna duka nilikua nakwenda kununua mahitaji kila Mara, moja ya wahudumu wa mle ndani alikua na tako la kufa mtu halafu alikua akinichangamkia kupindukia, baada ya kulipa alikua ananibebea mzigo wangu Hadi kwenye gari. Huyo msichana alikua ananipa shikamoo, hii shikamoo ndio iliyofanya niahirishe kutia neno.
Sasa siku mtoto wa Kaka anakwenda kututambulisha ukweni kwake nilikuta yule msichana ndio huyo mchumba wa mtoto wa Kaka. Kumbe yule mtoto alikua anajua Mimi Ni baba mkwe ndio Ile shikamoo na heshima zote.
Ukiwa Dar, mwanamke akikupa shikamoo, hebu punguza mihemko jiulize hii shikamoo ni ya kweli au .....maana Dar hatusalimiani Kama mikoani.
Dah umetisha sana mkuu

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hapa
07a24b0d-a287-4efd-bd8e-d7a742597937.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nililazimika kulala chumba kimoja na dada fulani miaka hiyo, tulikuwa tunasafiri gari ikatuharibikia njiani. Sikushughulika naye kwa lolote hadi siku iliyofuata. Aliomba namba nikampa.

Alipofika aendako akanitumia ujumbe kuniuliza kwanini sikumt**mba ilhali yeye alikuwa tyr ameshajiandaa kwa ktiana? Nilimjibu ~ sikuwa na hilo wazo la kufanya hivo kichwani mwangu...alistaajabu sana.

Mawasiliano yaliendelea nikakaja kukata mawasiliano baada ya kuona anazodi kuweka msisitizo juu ya suala la kufanya uzinzi.
 
Nililazimika kulala chumba kimoja na dada fulani miaka hiyo, tulikuwa tunasafiri gari ikatuharibikia njiani. Sikushughulika naye kwa lolote hadi siku iliyofuata. Aliomba namba nikampa.

Alipofika aendako akanitumia ujumbe kuniuliza kwanini sikumt**mba ilhali yeye alikuwa tyr ameshajiandaa kwa ktiana? Nilimjibu ~ sikuwa na hilo wazo la kufanya hivo kichwani mwangu...alistaajabu sana.

Mawasiliano yaliendelea nikakaja kukata mawasiliano baada ya kuona anazodi kuweka msisitizo juu ya suala la kufanya uzinzi.
Nini kilikusibu mkuu, maana kwa mtaalam kama wewe mmmh. Au hakukuvutia? Hapa kweli shetani alishindwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom