Umewahi kukutana na Shemale? Ushuhuda hapa

Umewahi kukutana na Shemale? Ushuhuda hapa

Akili zako unazijua mwenyewe[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahah! Kikongwe unajua hawa vijana wanatupa wakati mgumu! Heading nilipoisoma nikajua nakuja kushuhudia Shemale,kumbeee!
 
shemale mwanamke mwenye jinsia 2

Shemale ni mwanaume(kazaliwa mwaume km ww) aliyefanyiwa upasuaji wa kuwekewa matiti, na vitu vingine vya kike ili aonekane mwanamke. Kuna wengine hawana papuchi kbsa ila ukimuangalia ni km mwanamke lkn kiuhalisia ni mwanaume.

Harmophidite huyu ni mwanamke lkn ana uume (kazaliwa na uume na wala hajafanyiwa operesheni yyte). Anakika kila kitu cha mwanamke kiufupi ni mwanamke lkn ana uke na uume vyote vinaweza kuwa active au kimoja kisiwe active hasa uume. Wengine wanakuwa na uume mdogo sana lkn wengine wanakuwa nao km wa mwanaume rijali tena wanapiga shoo kbsa ya kibabe. Anakuwa na hisia ya kike na ni vigumu kumtambua km ana jinsia mbili lbda akuoneshe au akuambie.

Ila kuna wanaume wana uume mbili (double penis) ila sijajua hawa wanaitwaje lkn ni wanaume. Hawajafanyiwa operesheni yyte ndivyo walivyozaliwa
 
Hahah! Kikongwe unajua hawa vijana wanatupa wakati mgumu! Heading nilipoisoma nikajua nakuja kushuhudia Shemale,kumbeee!
Kumbe Na ww watamani kuwaona ma shemale hahahahaha usiombe ukutane Na Dada mrembooo balaa ukajua waenda jumla kumbe waenda liwa[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Kumbe Na ww watamani kuwaona ma shemale hahahahaha usiombe ukutane Na Dada mrembooo balaa ukajua waenda jumla kumbe waenda liwa[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Hahahah! Eboo! Sitaki kusikia,mimi nilitaka tu kupitisha macho! Vipi yule mkuu wetu,yupogo bado?
 
Kumbe anaondoka Alhamisi? Vizuri sana,Ile hali yako vipi? Nadhani dawa uliipata!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yap nilipona kabisa kabisa
Ila me nataka nikukutanishe Na shemela mmoja IV namfahamu ukamuone uso kwa macho
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yap nilipona kabisa kabisa
Ila me nataka nikukutanishe Na shemela mmoja IV namfahamu ukamuone uso kwa macho
Kereuwiii! Utanikutanisha naye lini na wapi?
 
Me too nimekuambia nipe namba zao hujanijibu mpaka sahizi mie sitaki kusimuliwa
wapo wengi [HASHTAG]#asigwa[/HASHTAG] keshakuelekeza. pia mbona kuna member mmoja humu

alishawahigi kujitosa
humu anatafuta mme ila anajinsia 2. kwanini huku mvPM ?
 
Ngoja nikutumie no zake yy atakwambia mkutane wap
 
21a5bcbfe24067f7a0a80adb44a85692.jpg

bravo Seth MacFarlane
 
wapo wengi [HASHTAG]#asigwa[/HASHTAG] keshakuelekeza. pia mbona kuna member mmoja humu

alishawahigi kujitosa
humu anatafuta mme ila anajinsia 2. kwanini huku mvPM ?
hebu nifafanulie kwanza jinsia mbili ni papuchi na mhogo ama?
 
Back
Top Bottom