hii kitu ni noma, tunaumizwa moyo na hatuachi kupenda tena.
nshaumiza mara moja sijawahi kuumizwa.....
rudia kusomahueleweki, umeumizwa mara moja hapo hapo unasema hujawahi
mtu anayeumizwa mara ya mwanzo then ikatokea kuumizwa tena zaidi kwa mara nyengine, basi huyo kajitakia. Moyo wa mtu siwezi kuujuwa ukoje, hivyo siwezi kusema nimeumiza mara ngapi ila ni mara moja tu niliyoumizwa na sidhani kama inaweza kutokea kuumizwa kwa mara nyengine.
mtu anayeumizwa mara ya mwanzo then ikatokea kuumizwa tena zaidi kwa mara nyengine, basi huyo kajitakia. Moyo wa mtu siwezi kuujuwa ukoje, hivyo siwezi kusema nimeumiza mara ngapi ila ni mara moja tu niliyoumizwa na sidhani kama inaweza kutokea kuumizwa kwa mara nyengine.
mmmmmhhhhh??????nshaumiza mara moja sijawahi kuumizwa.....
Pole Graca,ndo tatizo la kupenda sana na ukawa na trust kupita kiasi.Nimeumizwa mara moja tena vibaya mno,almost five years sasa ila huwa nikikumbuka naumia tena. But i have moved on na maisha yangu.
Ndugu yangu BAK utatofautishaje mapenzi ya 'kweli' na 'yaliyojaa usanii'?Kwa sababu mapenzi yana raha yake hasa ukibahatika kuyapata ya kweli siyo yaliyojaa usanii.
Pole sana SL kwa yaliyokukuta lakini miaka mitatu ya kilio na kusaga meno kusema ukweli thats too much hasa ukizingatia kuwa mwenzio anakula nchi na huyo aliyesababisha uumie. Ya nini bana binadamu aliyezaliwa na mwanamke kama wewe akutese kiasi hicho.Jitahidi tu nafasi ikitokea jenga imani na mtu mwingine na kisha usonge mbele.Nimeumizwa mara 1! Sijasahau mpaka leo huu mwaka wa 3. Nikikumbuka naanza kulia upya kama vile ndo tukio la jana yake. Nimejitahidi kusahau nimeshindwa!