UMESHAWAHI?

UMESHAWAHI?

Umeshawahi kufanya jambo lolote ambalo hujatarajia kulifanya ili usidhalilike?

Niliwahi kununulia wadada flan chakula nikawanunulia nikabaki sina hata hamsini kwa sababu ya masifa je?
Kawaida sana tushatuma nauli wauni kumtoa demu mkoani mwisho wa siku akazima simu ndo ikaisha ivyo
 
Back
Top Bottom