Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

mkuu njoo pm nilipe kwa niaba ya mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Pole sana dear.
 
Aisee pole ukamuacha huyo mwanaume hivyo hivyo binafsi angejutia kauli yake vita yake muamuzi hakuna.
 
Halafu ni lizuri hatari sio mvivu kitandani, + liko romantic mi ningeotaje mwenzenu mwaka mzima uko na mwanaume anakujali mi ningeota tapeli??/
Halafu unavyo chukiaga watu wanaopenda kubeti sasa!!!
 
Ha ha ha ha ha.
Kumbe wengi huwa mnalizwa baada ya kupigwa mashine tata!!
:-


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani elfu 85 mpaka kwa Sir God jamani. Ina maana hukuwahi kumpa zawadi yoyote ya maana?!
Pesa ndogo Kama hiyo.
Wakati wao wanatutapeli mpaka mamilioni kadhaa.!
Mtu anakukopa hela.
Kumdai anaanza kuzunguka zunguka.
Mara kakupa papuchi, na hela yako ndio ntolee hivo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…