Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
๐จ๐บ๐ฒ๐๐ต๐ฎ๐๐ฎ๐ต๐ถ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ฆ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ฑ๐ถ ๐ป๐๐ฒ๐๐๐ถ ๐๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฎ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ถ ?
Okay Kuna Tukio la Kushangaza linamuhusu Msanii maarufu kutoka Afrika Anaitwa Davido ikimuonyesha akiwa anamiliki kadi ya benki ambayo Ina rango nyeusi !! Je Kuna Siri Gani ?
Inaitwa black credit Card ๐ณ, ni kadi ambayo inatolewa kwa wale watu ambao wanatumia pesa kwa kiwango kikubwa kwa Mwezi kwa ajili ya mambo mbalimbali sanasana Anasa.
Kadi hii ilizinduliwa mwaka 1999 ilikua inajihusisha kwa kutoa mikopo kwa watu maarufu au tajiri ni mkopo wa haraka ambao watu maarufu Wanakopeshwa kwa ajili ya mambo mbalimbali wamarekani walikua wanaiita American Express Centurion card.
Baadae ikaja kubadilisha na kuwa ni kadi maalum kwa watu matajiri ambao wanapenda sana starehe wanapewa hizo kadi ambayo Ina nguvu ya matumizi isiyona kikomo.
โ๏ธUkitaka kumiliki hii kadi yakupasa ujue mambo yafuatayo ๐;
โก Kwanza zimeundwa kwa watu matajiri wanaotumia pesa nyingi kwa kawaida unapata kwa mualiko.
โก Kadi hii zina ada yake ambapo ili uweze kumiliki lazima uwe na Dola $10,000 na ada ya kila mwaka Dola $5,000.
โก Utasafiri mahali popote , utalala mahali popote pa gharama bila kulipia kichochote yani mahali popote penye chumba cha VIP unaingia bila shida na kupata huduma yoyote unayotaka.
๐ Faida za kuwa na kadi hii unaweza Safari za ndege bila malipo, Viwanja vya ndege vya VIP, Kukaa hoteli za nyota 5 ila sharti lazima uwe unatumia angalau $500,000 kwa mwaka ambayo ni sawa na bilioni 1.2.
Okay Kuna Tukio la Kushangaza linamuhusu Msanii maarufu kutoka Afrika Anaitwa Davido ikimuonyesha akiwa anamiliki kadi ya benki ambayo Ina rango nyeusi !! Je Kuna Siri Gani ?
Inaitwa black credit Card ๐ณ, ni kadi ambayo inatolewa kwa wale watu ambao wanatumia pesa kwa kiwango kikubwa kwa Mwezi kwa ajili ya mambo mbalimbali sanasana Anasa.
Kadi hii ilizinduliwa mwaka 1999 ilikua inajihusisha kwa kutoa mikopo kwa watu maarufu au tajiri ni mkopo wa haraka ambao watu maarufu Wanakopeshwa kwa ajili ya mambo mbalimbali wamarekani walikua wanaiita American Express Centurion card.
Baadae ikaja kubadilisha na kuwa ni kadi maalum kwa watu matajiri ambao wanapenda sana starehe wanapewa hizo kadi ambayo Ina nguvu ya matumizi isiyona kikomo.
โ๏ธUkitaka kumiliki hii kadi yakupasa ujue mambo yafuatayo ๐;
โก Kwanza zimeundwa kwa watu matajiri wanaotumia pesa nyingi kwa kawaida unapata kwa mualiko.
โก Kadi hii zina ada yake ambapo ili uweze kumiliki lazima uwe na Dola $10,000 na ada ya kila mwaka Dola $5,000.
โก Utasafiri mahali popote , utalala mahali popote pa gharama bila kulipia kichochote yani mahali popote penye chumba cha VIP unaingia bila shida na kupata huduma yoyote unayotaka.
๐ Faida za kuwa na kadi hii unaweza Safari za ndege bila malipo, Viwanja vya ndege vya VIP, Kukaa hoteli za nyota 5 ila sharti lazima uwe unatumia angalau $500,000 kwa mwaka ambayo ni sawa na bilioni 1.2.