nini maana ya kufa..?
ninayomaanisha ni hiyo ya kibaiolojia nafikiri utakuwa umeshapata jibuTunazungumzia juu ya kifo cha mwanadamu.
Definition ya kibaiolojia ni kukoma kabisa kwa utendaji wa "systems" zote za mwili.
Definition ya kidini ni roho na mwili kutengana, na roho kwenda Barzakh (soul grave) na mwili kubaki hapa duniani kwa mipango mingine.
ninayomaanisha ni hiyo ya kibaiolojia nafikiri utakuwa umeshapata jibu
kama baiolojia haitambui basi na mimi sitambui! Siafikiani na maswala ya kiroho hapo ndipo uwezo wangu ulipoishiaHapa hatuzumgumzi juu ya mada za kibaiolojia tunazungumza juu ya mada za kifo kwa mintarafu ya dini yaani maana ya kifo kwa upande wa dini. Kwani Baiolojia inatambua kitu kinachoitwa "roho".??
Halafu mimi sikuomba kuzaliwa " kwa hiyo sioni kama ni busara kupangiwa mikakati na kuifuata wakati huu Uhai sikuuomba wala sijawahi kuwa na time nao hapo kabla
kama baiolojia haitambui basi na mimi sitambui! Siafikiani na maswala ya kiroho hapo ndipo uwezo wangu ulipoishia
i believe in reincarnation , nikifa nazaliwa 'marekani' au 'somalia', amna cha kaburini
Yani ubongo wa binadamu unasahau faster sana.. Sana... We hamna mtaa tu demu wako anakusahauSiku ya kwanza kaburini itakuwa wewe umekufa wengi watakusahau watakuwa wanaendelea na mambo yao, wachache ambao ni wapendwa wako watakukumbuka lakini nao baada ya muda watakusahau
Mkuu tupe mfano wa ambao walikufa wakazaliwa nje?
Nina rafiki angu amekufa na namba zangu anazo,sasa ndo yupo marekani hata meseji kwa wasap asinitumie mkuu?
Au anakuwa hajulikani anazaliwa mwingine mkuu?
FactNi kawaida kwa wanaccm hawanaga amani ya nafsi.
Kila sekunde inayopiga nafsi zao zaona mashaka.
Na muendelee kukosa amani hivyohivyo mpaka siku mtakapoanza kujali maisha ya wengine
Acha upotoshaji soma na ujifunze,kwa mujibu wa imani yangu Rungu ni kwa wale waovu,pia Rungu linawahusu watu wote bila kujali we wa imani gani,km haukumjua Allah Rungu linakusu so hata we linakuhusu pia.,kutojua sheria haimaanisha upewe msamaha.Nyie si ndio mkizikwa tuu anakuja bonge jokaaaa kukuviringisha halafu anakuja malaika mwenye bonge runguu anakupiga kichwani puuuh!!! Halafu anakuuliza "ulifanya nini duniani"...duuh kama ndio hivyo laz'ma uwaze saaana aseee!!!
DuAcha ulofa,marehemu huwa hajitambui kama yupo kabulini.
Mtu akifa anakuwa hana idea, kumbukumbu wala maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepata uhai itafute iliyo ya kweli ya hakika,shukuru kwa Allah umeumbwa binadamu VP ungekuwa mbuzi/nzi ungekuwepo Leo?Naanzaje kujipa tabu ya kuwaza waza vitu kama hivyo " Kwani kabla sijazaliwa nilishawahi kuwaza duniani nitakuwa na maisha gani !?
Halafu mimi sikuomba kuzaliwa " kwa hiyo sioni kama ni busara kupangiwa mikakati na kuifuata wakati huu Uhai sikuuomba wala sijawahi kuwa na time nao hapo kabla
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haya mambo umejuaje??Mkuu, ni kwamba siku yako au muda wako wa kwanza kaburini unaanza mara tu unapofariki, yaani roho yako inapoachana na mwili na roho kwenda ndani ya kaburi lake linaloitwa Barzakh.
Mwili nao unaweza kuzikwa katika kaburi la kimwili yaani ardhini au unaweza usizikwe kabisa kwa sababu kuna miili ya watu wengine huwa haizikwi bali huchomwa moto au hukwatwa vipande vipande na kulishwa tai (sky burial) nk.
Roho ya mtu inapokuwa ndani ya Barzakh inakuwa haina muda (time less) kwa sababu muda ni kitu kinachotuhusu sisi tuliokuwahai pia roho huko hazili chakula kama tunavyokula tuliokuwahai nk, na ndiyo maana siku ya kufufuliwa kwenda kusimama hukumu (yaumul qiyama) tukiulizwa tulikaa Barzakh muda gani hakuna atakayejua, kwani muda utaonekana ni kama masaa machache tu!!.
Roho inapokuwa ndani ya Barzakh inakuwa kama vile mtu unapokuwa usingizini hivyo unaweza kusema kifo ni usingizi mzito (deep sleep) wa roho ndani ya Barzakh unaofanana na usingizi "mwepesi" tunaolala na kuamka hapa duniani.
Adhabu au raha za roho zinaanzia katika Barzakh mara moja roho inapoingia humo, kama hapa duniani ulikuwa mwema basi utaanza kuonja raha na starehe za peponi halikadhalika kama ulikuwa muovu utaanza kuonja "moto" wa jehanamu.
Mungu atusaidie tutende mema ili tuonje starehe za peponi na mwishowe siku ya kiyama tuingie peponi. Amin yaa rabb alalamiin.