Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Aaah sasa mkuuu nimesikia hukoo nii hatariii mambo ya Ku download tenaa, Na umegusa kwenye ugonjwa wanguu aisee
 
Nimejaribu kuingia naona cm yangu inapiga picha za ghetto automatic haizim nimeiacha nje kwanza nawaza nikaiweke kwenye maji chakushangaza kila naipeleka nje naikuta ndan jaman plzz msiingie huko
 
Uyu MTU anakurekebishia maisha safi kabisa nilimuokota huko +1 (458) 207-4349
 
wabongo tupunguze uwoga! hao wanaokuambia usiende huko panatisha wao wamejuaje kama hawakuingia? cha msingi fata maelekezo waliotoa wadau then nenda kajionee mwenyewe...
 
Elimu maridhawa
 
ok kwa hiyo kumbe wanakuwa na server zao
Yes, asilimia kubwa. Ni risk sana kuwa na centralized server ktk known location. VirtualMachines na pia kama zitakuwa online muda mrefu ni risk kuwa tracked na kupatikan. Keep in mind kuwa asilimia kubwa ya vitu vinafanyika ktk dark web ni illegal na penalties zake sio za kitoto.
Kama upo interested cheki online kuhusu aliyeanzisha silk road moja ya sites zilizowahi kutikisa sana. Kuna mengi sana ambayo hatuyafahamu. Sio kila kitu ktk mitandao ni cha kuamini even in the dark web, you just have to know kile unakitafuta na wapi pa kukipata. Otherwise utakuwa umeingia ktk bwala la tope
 
Yap nimecheki naona Ross Ulbricht alifungwa jela maisha tena hawezi kutolewa hata kwa parole
 
Yap nimecheki naona Ross Ulbricht alifungwa jela maisha tena hawezi kutolewa hata kwa parole
But kama umesoma kwa kina upande wa ushahidi wake kuna facts nyingi sana sio yeye pekee aliyekuwa akiendesha silk road. Walikuwa 3 na hawafahamiani as insurance policy endapo mmoja atakamtwa wengine watakuwa huru. Amehukumiwa kwa circumstantial evidence kwa sababu ni ngumu sana kuthibitisha mashitaka yao na tayari walishatumia billions of money ktk kumtafuta mhusika only to find out walikuwa watatu. So kifungo chake somehow bado kina utata kama kweli walimpata mtu sahihi au walitaka ku-justify matumizi makubwa ya hela na muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…