Nilikuwa muumini wa deepweb sema ni nzuri kwa wasomaji, na watafuta habar na wafanya biashara.
Kuna baadhi ya vi changamoto kama profile za watu wa tz, ni vigumu kumtrace mtu background au mzizi wake ila kwa majuu inakuwa simple kwasababu kule mna kuwa na free databases ambayo unamchimba mtu fully.
Problem ingine ni pesa, kwa vile ni deepweb ukifanya busness mle kurushwa ni pie, na huwezi kulalamika maana ni deep sasa mpk uje ui convinces sheria iwekwako utazua mengine..
Solutions kubwa ni kuifanya iwe known ili iwe na user wa maeneo husika kushare experience...
Uzuri wa hizi sites ni kwamba dvjjnfhvjk