Umepitia changamoto zipi katika mifuko ya hifadhi ya jamii?

Umepitia changamoto zipi katika mifuko ya hifadhi ya jamii?

Expert Judgement

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2019
Posts
441
Reaction score
743
"Changamoto ni changamoto tu hata iwe ndogo kiasi gani! Inahitaji ufumbuzi ili wateja wawaze kufurahia huduma"- unskilled 2020

Wakuu unapochangia kwenye hii MIFUKO ya hifadhi ya JAMII haukutani na kero zozote wakati unakatwa maana wenyewe wanakuambia Hawa wanakata kisheria, naikitokea muajiri hapeleki michango kwa wakati inakua ni kosa.

Sasa je Kama mtu amechangia kwa muda wote Tena kwa wakati maana watumishi wa serikali wanakatwa juu kwa juu, kwanini mafao mengi yanacheleweshwa lakini sababu zinakua hazina mashiko Bila kujali athari ambayo mchangiaji anaipata?

Hivi kweli katika dunia ya leo ya sayansi hii advanced unaweza kumjibu mteja kuwa fail lako halionekani kwenye system kweli? PSSSF mnatumia technology ya wapi kiasi Cha mafaili kutoonekana kwenye system? Nimekutana na jibu hili Jana mwezi ujao sijui nitakutana na jibu gani.

Je, wewe umewahi kukutana na changamoto ipi katika MIFUKO yetu hii?

Nawasilisha
 
"Changamoto ni changamoto tu hata iwe ndogo kiasi gani! Inahitaji ufumbuzi ili wateja wawaze kufurahia huduma"- unskilled 2020

Wakuu unapochangia kwenye hii MIFUKO ya hifadhi ya JAMII haukutani na kero zozote wakati unakatwa maana wenyewe wanakuambia Hawa wanakata kisheria, naikitokea muajiri hapeleki michango kwa wakati inakua ni kosa.

Sasa je Kama mtu amechangia kwa muda wote Tena kwa wakati maana watumishi wa serikali wanakatwa juu kwa juu, kwanini mafao mengi yanacheleweshwa lakini sababu zinakua hazina mashiko Bila kujali athari ambayo mchangiaji anaipata?

Hivi kweli katika dunia ya leo ya sayansi hii advanced unaweza kumjibu mteja kuwa fail lako halionekani kwenye system kweli? PSSSF mnatumia technology ya wapi kiasi Cha mafaili kutoonekana kwenye system? Nimekutana na jibu hili Jana mwezi ujao sijui nitakutana na jibu gani.

Je, wewe umewahi kukutana na changamoto ipi katika MIFUKO yetu hii?

Nawasilisha
mifuko yetu ya hifadhi ya jamii ni jipu nadhani mwenye mamlaka ya uteuzi apaleke vijana wake wa "kazi"kuchunguza kwa undani sababu za kuchelewesha wastaafu kupata mafao yao kwa wakati muafaka. Atakayepatikana na hatia atumbuliwe kwani hata ukimpeleka mtu toka uswazi leo ataona madudu ya baadhi ya watumishi wa tasisi tajwa.
 
"Changamoto ni changamoto tu hata iwe ndogo kiasi gani! Inahitaji ufumbuzi ili wateja wawaze kufurahia huduma"- unskilled 2020

Wakuu unapochangia kwenye hii MIFUKO ya hifadhi ya JAMII haukutani na kero zozote wakati unakatwa maana wenyewe wanakuambia Hawa wanakata kisheria, naikitokea muajiri hapeleki michango kwa wakati inakua ni kosa.

Sasa je Kama mtu amechangia kwa muda wote Tena kwa wakati maana watumishi wa serikali wanakatwa juu kwa juu, kwanini mafao mengi yanacheleweshwa lakini sababu zinakua hazina mashiko Bila kujali athari ambayo mchangiaji anaipata?

Hivi kweli katika dunia ya leo ya sayansi hii advanced unaweza kumjibu mteja kuwa fail lako halionekani kwenye system kweli? PSSSF mnatumia technology ya wapi kiasi Cha mafaili kutoonekana kwenye system? Nimekutana na jibu hili Jana mwezi ujao sijui nitakutana na jibu gani.

Je, wewe umewahi kukutana na changamoto ipi katika MIFUKO yetu hii?

Nawasilisha
Wameweka namba za simu ambazo hawapokei.
 
mifuko yetu ya hifadhi ya jamii ni jipu nadhani mwenye mamlaka ya uteuzi apaleke vijana wake wa "kazi"kuchunguza kwa undani sababu za kuchelewesha wastaafu kupata mafao yao kwa wakati muafaka. Atakayepatikana na hatia atumbuliwe kwani hata ukimpeleka mtu toka uswazi leo ataona madudu ya baadhi ya watumishi wa tasisi tajwa.
Au ndio ile dhana ya mwaka wauchaguzi Mambo ya pesa serikalini yanakua magumu? All in all Kuna Jambo halijakaa sawa huko sio bure
 
"Changamoto ni changamoto tu hata iwe ndogo kiasi gani! Inahitaji ufumbuzi ili wateja wawaze kufurahia huduma"- unskilled 2020

Wakuu unapochangia kwenye hii MIFUKO ya hifadhi ya JAMII haukutani na kero zozote wakati unakatwa maana wenyewe wanakuambia Hawa wanakata kisheria, naikitokea muajiri hapeleki michango kwa wakati inakua ni kosa.

Sasa je Kama mtu amechangia kwa muda wote Tena kwa wakati maana watumishi wa serikali wanakatwa juu kwa juu, kwanini mafao mengi yanacheleweshwa lakini sababu zinakua hazina mashiko Bila kujali athari ambayo mchangiaji anaipata?

Hivi kweli katika dunia ya leo ya sayansi hii advanced unaweza kumjibu mteja kuwa fail lako halionekani kwenye system kweli? PSSSF mnatumia technology ya wapi kiasi Cha mafaili kutoonekana kwenye system? Nimekutana na jibu hili Jana mwezi ujao sijui nitakutana na jibu gani.

Je, wewe umewahi kukutana na changamoto ipi katika MIFUKO yetu hii?

Nawasilisha
Pole sana mkuu,kuna mzee kule home alikuwa mtumishi wa Mahakama,alipofuatilia mafao yake alipewa majibu kuwa hawamtambui,mzee yule alianguka pale pale kwa mshituko akakimbizwa hospital akiwa hajitambui,siku chache baadaye aliaga dunia.
 
Pole sana mkuu,kuna mzee kule home alikuwa mtumishi wa Mahakama,alipofuatilia mafao yake alipewa majibu kuwa hawamtambui,mzee yule alianguka pale pale kwa mshituko akakimbizwa hospital akiwa hajitambui,siku chache baadaye aliaga dunia.
Duuu Sasa Kama walikua wanamkato mshahara hawamtambui kivipi hapo sasa, any way Wale jamaa wana legal technicalities kibao
 
"Changamoto ni changamoto tu hata iwe ndogo kiasi gani! Inahitaji ufumbuzi ili wateja wawaze kufurahia huduma"- unskilled 2020

Wakuu unapochangia kwenye hii MIFUKO ya hifadhi ya JAMII haukutani na kero zozote wakati unakatwa maana wenyewe wanakuambia Hawa wanakata kisheria, naikitokea muajiri hapeleki michango kwa wakati inakua ni kosa.

Sasa je Kama mtu amechangia kwa muda wote Tena kwa wakati maana watumishi wa serikali wanakatwa juu kwa juu, kwanini mafao mengi yanacheleweshwa lakini sababu zinakua hazina mashiko Bila kujali athari ambayo mchangiaji anaipata?

Hivi kweli katika dunia ya leo ya sayansi hii advanced unaweza kumjibu mteja kuwa fail lako halionekani kwenye system kweli? PSSSF mnatumia technology ya wapi kiasi Cha mafaili kutoonekana kwenye system? Nimekutana na jibu hili Jana mwezi ujao sijui nitakutana na jibu gani.

Je, wewe umewahi kukutana na changamoto ipi katika MIFUKO yetu hii?

Nawasilisha

Mambo ya PSSSF hayo mkuu.
 
Back
Top Bottom