Its *Samsung * not sumsung..Wewe ulishatumia sumsung gani ukaona imelipuka au kuvimba battery?
Hapana!!!!sisi tufungue thread yetunauliza na sisi wa TECNO tunacomment humuhumu?

Dah!!!!Samsung note7 naipenda kwa sababu anytime inaweza kuwa grunate

yep nilibadili battery from 1900mAh to 3500mAh nainjoi zaidi na zaidi broh...Really nigga?![]()
Camera yake vp??iko vizuri?Mm natumia htc one M7 naipendea wepesi wake,wembamba pamoja na internal storage yake ni kubwa sana bila kusahau uwezo wa kutunza chaji
Iko poa pia japo sio saaaaaaaanaaaaaa ila iko vyema.Camera yake vp??iko vizuri?
Hujatumia kuanzia kuanzi s5 kuja juu. Sijawahi kujutia kutumia samsung. Saiz nina s6 edge. Napenda live streaming youtubeSamsung n nzur lakn ukaaji wake Wa chaji ndio unankoseshaga ham ya kutumia,
Utakua unatumia s4. Maana ndio toleo la kishamba kwa ukaaji wa chajisio samsung hyo...itakua singsung
wenye samsung wote tunalalamika charge
Mkuu simu ipi iliyolipuka ya samsung zaid ya note 8 ambazo zimezuia ata kwet hazikufika vizuri. Na swala la battery ni kila battey inauwezo wakuvimba ukiichaji vibaya kwa sababu battery za simu zote na hyo yakwako unayoitumia ni za lithium.Nayotumia naipenda coz haina risk ya milipuko na kuvimba battery kama Samsung
Samsung Note 7 pia,kama zote zinatumia lithium mbona tunasikia matukio ya brand ya Samsung tu?Mkuu simu ipi iliyolipuka ya samsung zaid ya note 8 ambazo zimezuia ata kwet hazikufika vizuri. Na swala la battery ni kila battey inauwezo wakuvimba ukiichaji vibaya kwa sababu battery za simu zote na hyo yakwako unayoitumia ni za lithium.