Umependea nini aina ya simu unayotumia?

Umependea nini aina ya simu unayotumia?

iphone 6 plus,inanikosha kwenye security TCRA hawawezi kunidukua kizembe,charge hadi nasahau,durability,speed,voice quality,facetime,super camera,...n.k yani hauwezi kunishawishi kuwa kuna simu nzuri zaidi ya iphone.
Ww hujatumia samsung flagship kama s7 ndo utajua utamu wa simu
 
Samsung Galaxy ni noma,inakaa na charge kinoma na simu nzuri sana.
 
Natumia huawei y3ii naipenda kwa sababu iko fasta katika swala la internet, opening file,unaweza kufanya kazi nyingi napia haiwez kustack..
 
Natumia s6 edge ni slm, kidogo kuhandle na chepesi mfukoni. Pia nikiingia geto kwangu ni rahisi kuunga na vifaa navyotumia kama Tv, home theatre na hata kingamuzi coz karbia vyote ni Samsung na ninaweza kuvicontrol kwa simu tu.
Ni nyepesi kama Microsoft lumia 650 au?
 
Back
Top Bottom