Umependea nini aina ya simu unayotumia?

Umependea nini aina ya simu unayotumia?

247

Senior Member
Joined
Mar 29, 2016
Posts
188
Reaction score
197
Habarini wana JF

Naomba mnisaidie ni kitu gani kimekuvutia mpaka umeamua kutumia aina na simu unayotumia ( Iphone,Samsung,LG, HTC.....)

Mimi napenda iphone kwasababu ya security na pia inakaa na Chaji.!!
 
Natumia s6 edge ni slm, kidogo kuhandle na chepesi mfukoni. Pia nikiingia geto kwangu ni rahisi kuunga na vifaa navyotumia kama Tv, home theatre na hata kingamuzi coz karbia vyote ni Samsung na ninaweza kuvicontrol kwa simu tu.

Samsung n nzur lakn ukaaji wake Wa chaji ndio unankoseshaga ham ya kutumia,
 
Unatumia nn mkuu?
 
Hanarini wana JF

Naomba mnisaidie ni kitu gani kimekuvutia mpaka umeamua kutumia aina na simu unayotumia ( Iphone,Samsung,LG, HTC.....)

Mimi napenda iphone kwasabab ya security na pia inakaa na Chaji.!!

Mimi natumia Nokia RH-112,Maarufu kama Nokia tochi kwa sababu zifuatazo.

Inakaa na chaji kwa muda mrefu na pia ni rafiki katika shughuli zozote.Unaweza kuwa Mbeba zege,Mkulima,Mhasibu,Mwalimu,Kiongozi nk na isiwe na changamoto/tatizo lolote katika ufanyaji wa kazi yako.

Gharama yake siyo kubwa,Ukiwa na Tsh 25000/= unaipata ikiwa mpya.Hata ikitokea ikapotea kwa bahati mbaya hutokuwa na nafasi kubwa ya kupatwa na Magonjwa nyemelezi kama B.P ukitofautisha bei yake na zile zenye bei sawa na Ujenzi wa nyumba ya kuishi.

Ni simu imara ambayo haiharibiki kwa urahisi tofauti za simu zingine ulizozitaja almaarufu kama Smatifoni,Tableti nk.Pia ikitokea ikaharibika kwa bahati mbaya,spea zake zinapatikana kwa urahisi.

Mwanga wake ni wa kawaida na hauumizi macho ya mtumiaji.

Ni simu ambayo unaweza kuisahau kwa bahati mbaya Pale Mwenge stendi na kwenda Mbagala,Na pindi utakaporudi kuna uwezekano wa kuikuta,[HASHTAG]#Sipendagi[/HASHTAG] ujinga mimi.

Ubebaji wake ni mrahisi tofauti na zile zenye ukubwa kama kaunta buku.

Kiufupi,Hizi ni baadhi tu ya sababu za kuipenda simu yangu.
 
Mimi natumia Nokia RH-112,Maarufu kama Nokia tochi kwa sababu zifuatazo.

Inakaa na chaji kwa muda mrefu na pia ni rafiki katika shughuli zozote.Unaweza kuwa Mbeba zege,Mkulima,Mhasibu,Mwalimu,Kiongozi nk na isiwe na changamoto/tatizo lolote katika ufanyaji wa kazi yako.

Gharama yake siyo kubwa,Ukiwa na Tsh 25000/= unaipata ikiwa mpya.Hata ikitokea ikapotea kwa bahati mbaya hutokuwa na nafasi kubwa ya kupatwa na Magonjwa nyemelezi kama B.P ukitofautisha bei yake na zile zenye bei sawa na Ujenzi wa nyumba ya kuishi.

Ni simu imara ambayo haiharibiki kwa urahisi tofauti za simu zingine ulizozitaja almaarufu kama Smatifoni,Tableti nk.Pia ikitokea ikaharibika kwa bahati mbaya,spea zake zinapatikana kwa urahisi.

Mwanga wake ni wa kawaida na hauumizi macho ya mtumiaji.

Ni simu ambayo unaweza kuisahau kwa bahati mbaya Pale Mwenge stendi na kwenda Mbagala,Na pindi utakaporudi kuna uwezekano wa kuikuta,[HASHTAG]#Sipendagi[/HASHTAG] ujinga mimi.

Ubebaji wake ni mrahisi tofauti na zile zenye ukubwa kama kaunta buku.

Kiufupi,Hizi ni baadhi tu ya sababu za kuipenda simu yangu.
Kwahiyo na humu jf unatumia nokia ya torch
 
Mimi natumia Nokia RH-112,Maarufu kama Nokia tochi kwa sababu zifuatazo.

Inakaa na chaji kwa muda mrefu na pia ni rafiki katika shughuli zozote.Unaweza kuwa Mbeba zege,Mkulima,Mhasibu,Mwalimu,Kiongozi nk na isiwe na changamoto/tatizo lolote katika ufanyaji wa kazi yako.

Gharama yake siyo kubwa,Ukiwa na Tsh 25000/= unaipata ikiwa mpya.Hata ikitokea ikapotea kwa bahati mbaya hutokuwa na nafasi kubwa ya kupatwa na Magonjwa nyemelezi kama B.P ukitofautisha bei yake na zile zenye bei sawa na Ujenzi wa nyumba ya kuishi.

Ni simu imara ambayo haiharibiki kwa urahisi tofauti za simu zingine ulizozitaja almaarufu kama Smatifoni,Tableti nk.Pia ikitokea ikaharibika kwa bahati mbaya,spea zake zinapatikana kwa urahisi.

Mwanga wake ni wa kawaida na hauumizi macho ya mtumiaji.

Ni simu ambayo unaweza kuisahau kwa bahati mbaya Pale Mwenge stendi na kwenda Mbagala,Na pindi utakaporudi kuna uwezekano wa kuikuta,[HASHTAG]#Sipendagi[/HASHTAG] ujinga mimi.

Ubebaji wake ni mrahisi tofauti na zile zenye ukubwa kama kaunta buku.

Kiufupi,Hizi ni baadhi tu ya sababu za kuipenda simu yangu.

 
Natumia Blackberry Z20 napenda sana kwa ubora wake security na umbo lake napia kuwa tofauti sana charge ina kaa 24hrs. Data ikiwa on naenjoy sana Na BBOS
 
Natumia Blackberry Z20 napenda sana kwa ubora wake security na umbo lake napia kuwa tofauti sana charge ina kaa 24hrs. Data ikiwa on naenjoy sana Na BBOS

Before nlikiwa mteja mzur sana wa Bb nmetumia karbia zote na ya mwisho ilikua ni z30, ila z20 sijatumia

Kitu kinachokera kwa Bb ni application zake kuwa chache japokua unaweza sideload android apps ila hazifanyi kazi perfectly

Kingine ni kuondoa whatsapp31st Dec,

nna q10 inanipa warnings kila nkifungua whtsapp
 
iphone 6 plus,inanikosha kwenye security TCRA hawawezi kunidukua kizembe,charge hadi nasahau,durability,speed,voice quality,facetime,super camera,...n.k yani hauwezi kunishawishi kuwa kuna simu nzuri zaidi ya iphone.
 
Back
Top Bottom