batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,342
Moja kwa moja kwenye mada...hilo swali ni gumu sana kwa vijana domo zege(mostly) na wapenda kutelezea ganda na ndizi.
Unakutana na binti mkali haswaaa ila kumuomba contacts inakua mtihani. Unapitia kwa rafiki zake, wanakupa namba zake ila unapewa SHARTI moja tu kwamba usimtaje...
Haya sasa unamfata inbox...baada ya salam na kujitambulisha sanaa...anakuuliza swali "nani kakupa namba yangu?"
Unaanza kujiuma uma weeee.
Jamani wazoefu wa haya mambo watupe majibu mazuri ya hili swali tata bila kumtaja aliekupa namba.
Baadhi ya majibu:
1. Niliiona kwenye profile yako facebook(tuna assume yupo fb)
2. Ilikua kwenye group la whatsap...lazima tu awe kwenye magroup aiseee
3. Mtu umpendae huwezi kukosa mawasiliano yake n.k
Jamani wazoefu wa haya mambo ongezeni sababu tuwaokoe madomo zege humu
Unakutana na binti mkali haswaaa ila kumuomba contacts inakua mtihani. Unapitia kwa rafiki zake, wanakupa namba zake ila unapewa SHARTI moja tu kwamba usimtaje...
Haya sasa unamfata inbox...baada ya salam na kujitambulisha sanaa...anakuuliza swali "nani kakupa namba yangu?"
Unaanza kujiuma uma weeee.
Jamani wazoefu wa haya mambo watupe majibu mazuri ya hili swali tata bila kumtaja aliekupa namba.
Baadhi ya majibu:
1. Niliiona kwenye profile yako facebook(tuna assume yupo fb)
2. Ilikua kwenye group la whatsap...lazima tu awe kwenye magroup aiseee
3. Mtu umpendae huwezi kukosa mawasiliano yake n.k
Jamani wazoefu wa haya mambo ongezeni sababu tuwaokoe madomo zege humu