Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 558
- 1,116
Habari ya asubuhi wanaJF
Naomba tu kuuliza nani mwingine amepata mafundisho kutoka kwenye hii awamu ya SSH
Binafsi nimejifunza kwamba binadamu na mitaa kwa ujumla daima haina shukrani.
Watafute wapinzani wote ambao mama aliwasaidia kwa namna moja au nyingine,sasa hivi wako wapi na wanafanya nini?
Nawasilisha
Wenu katika ujenzi wa taifa
Skudu manoka.
Naomba tu kuuliza nani mwingine amepata mafundisho kutoka kwenye hii awamu ya SSH
Binafsi nimejifunza kwamba binadamu na mitaa kwa ujumla daima haina shukrani.
Watafute wapinzani wote ambao mama aliwasaidia kwa namna moja au nyingine,sasa hivi wako wapi na wanafanya nini?
Nawasilisha
Wenu katika ujenzi wa taifa
Skudu manoka.