!
!
kwa swali hilo essay yake inapita gazeti la the citizen....nushuka nae mpaka akome,unywele page tatu,macho page mbili,lipsi page nne meno....aisee nahitaji zaidi ya rim mbili kujibu hilo au dvd ka tatu hivi kwa audio ila maelezo yote yatakuwa ya hu ji ntao au huyu pin ping sijui nani ndugu yake jack cheni