Umeme 'waweza kuzimwa pamoja' na Muungano

Natoa rai fupi lakini muhimu kwa viongozi wa kiserikali na kichama (CCM) kuhusu suala ya deni la umeme la Zanzibar. Suala hili linapaswa kufanyiwa kazi kwa umakini na uangalifu mkubwa. Suala hili laweza kuvaa sura ya suala la kimuungano na hivyo kusumbua.

Wakuu wetu wawe macho na makini katika hili, nasisitiza bila kuchokoza. Yawezekana kabisa, kwa ninavyowajua Wazanzibari, umeme ukazimwa pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964. Nimelitazama suala hili katika jicho la tatu.

Mwafaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wa TLS)
Ivi tuongelee ukweli tanesco inazalisha umeme kwa ngarama kubwa..

Mtumiaji yeyote anapaswa kulipia umeme mbona bara taasisi za umma na binafsi zinalipia umeme. Iweje zanzibar wasilipie umeme au kukataa madeni waliyonayo sasa panapobidi kuzima umeme wazime tuu maana kama tutakuwa bar pekee ndo tunalipa umeme kwa ngarama kubwa ili uweze kuzalisha..

Muungano sio kitu cha kubemelezwa bali kuna misingi na makubaliano ya muungano sizani kama umeme ndo utavunja muungano.. Mbona wanakula mchele wa mbeya na vitunguu vya mang'ola wala sio kitu cha kuficha... Tuache tanesco wafanye kazi yao kwa maana tanganyika na nzazibar ndio huunda tanzania na tanesco ni shirika la tanzania wala sio la tanganyika
 
Natoa rai fupi lakini muhimu kwa viongozi wa kiserikali na kichama (CCM) kuhusu suala ya deni la umeme la Zanzibar. Suala hili linapaswa kufanyiwa kazi kwa umakini na uangalifu mkubwa. Suala hili laweza kuvaa sura ya suala la kimuungano na hivyo kusumbua.

Wakuu wetu wawe macho na makini katika hili, nasisitiza bila kuchokoza. Yawezekana kabisa, kwa ninavyowajua Wazanzibari, umeme ukazimwa pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964. Nimelitazama suala hili katika jicho la tatu.

Mwafaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wa TLS)
hahaha, viongozi wenyewe ndo akina salim jecha huo muungano utadumu as long as akina jecha wapo madarakani
 
Mkuu TupaTupa;
Huwezi kuuzima umeme wa Zanzibar Muungano ukapona. Atakaye uzima umeme wa Zanzibar sasa hivi hata kwa bahati mbaya, ikajulikana kuwa kidole kilikosea akakibonyeza kile kitufe cha "Off" kwa bahati mbaya tu. Ajue pia kuufinyanga upya Muungano.
Ndo maana Dk. akajibu kwa uhakika hivyo. Ili muungano udumu, deni hili liendelee kuongezeka tu. Madeni mengine HAYALIPIKI.
 
Ndio kitakachotokea.. maana jana shein ameongea kwa uchungu sana.
Ukimuangalia usoni alikuwa na donge kifuan... sasa huyu mkulu wetu kama hajaisoma picha.. tanesco wakikata tu.. na muungano ndio byebye
 
Natoa rai fupi lakini muhimu kwa viongozi wa kiserikali na kichama (CCM) kuhusu suala ya deni la umeme la Zanzibar. Suala hili linapaswa kufanyiwa kazi kwa umakini na uangalifu mkubwa. Suala hili laweza kuvaa sura ya suala la kimuungano na hivyo kusumbua.

Wakuu wetu wawe macho na makini katika hili, nasisitiza bila kuchokoza. Yawezekana kabisa, kwa ninavyowajua Wazanzibari, umeme ukazimwa pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964. Nimelitazama suala hili katika jicho la tatu.

Mwafaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wa TLS)
Kwani kunatatizo gani kuivua mbeleko inayokupa kero?
 
Tukisema ccm ndo adui wa nchi yetu watu hawaelewi,sasa kama mambo yako hivi jiulize why wanangangania serikali mbili?
Hii imekaaje ...wateja wanailipa ZESCO alafu ZESCO haiwakilishi malipo TANESCO!? (inaziweka wapi sasa!)
Au ZESCO inawakopesha wateja wake na ndio hawalipi!? (sasa hawajiulizi umeme huo unatoka wapi)
Kama kweli muungano ni upande mmoja kulipia umeme na upande mwingine lakini matumizi wote watumie sawa kweli pana haja ya kuungana hapa!?
 
Serikali ivumilie tu zanzbar watumie umeme bure yaani wakikomaa muungano uttaishia hapo muungano ukikoma ccm visiwani kwishnei CUF itatawala viongoz wa ccm wote wataishi uhamishoni
kwa hivyo watanganyika tuendelee kuumia kwa manufaa ya ccm na makaburi yao? I hate ccm
 
aya
0f6f1f0e8373120abeabae105497d5a3.jpg
 
Orodha yako ina mashiko, hivyo peleka malalamiko yako ofisi ya makamu wa rais muungano yatashughulikiwa ipasavyo. lakini umeme ni biashara inayopaswa kulipiwa kama ambavyo tanesco wanawalipa wazalishaji umeme. kama ZESCO imeshindwa kukusanya ankara za umeme, TANESCO wabebe jukumu hilo kupata fedha za kuwalipa IPTL, AGREKO,SONGAS na wazalishaji wengine
"I am my fathers daughter, I may not look like him but if u look at me closely u will see I am exactly what he intended me to be. I raise my voice n speak my mind, I call a spade ♠ a spade ♠ n I am bold enough to face my fears head on!.... Tatizo la kukatiwa umeme kwa kutolipa deni ni la serikali n sio la wananchi kwa sababu wananchi wanalipa huduma hizo on a prepaid system. Kama Deni ni la miaka 20 nyuma ilikuwa litafutiwe ufumbuzi wakulilipa au utafutwe ufumbuzi wa umeme mbadala n sio kutwambia turudi kwenye vibatari. Zile pesa wanaolipa wananchi zinaenda wapi?? Kama mlikuwa ndo mnaendeshea nchi then it clearly shows hii nchi imekushindeni n wala hamna uchungu nayo nahisi it will be a wise solution to take the reins to its rightful leader.... those reins clearly do not belong to you at all. A good leader always leads by examples n always finds permanent solutions to his problems, n is not afraid to face his fears head on. He doesn't dodge or play the blaming game or even shift them blame he take ownership of his problems n stays true to his principles n beliefs.... Haya mtoto wa mwisho wa karume ndo nshasema .... if the hat fits then wear it.... jiwe limerushwa hiloooo likikupata utajijuuuuu."
Nchi ya ajabu hii, bandari Muungano, Utalii Muungano, Foreign currency muungano, halafu mpunga unashikilwa na Watanganyika, Zanzibar ikisubiri kamgao ka asilimia 4..?????????
Hata hiyo asilimia 4% Zanzibar hawalipwi. Wanafanywa wenza mabwege kabisa
Nadiriki kusema kwamba mzee Tupa tupa uzi wako utakuja kukumbukwa sana pindi umeme ukizimwa Zanzibar Yetu Macho.
Umeme hauzimwi, kwqa vile Tanganyika ya CCM haina ubavu.
Magu ana dharau.angekaa nae wakaongea
Hakukuwa na haja ya kutangaza.
Yameshatokea huko nyuma na wakajaribu kukata. Ilichukua masaa machache tu Umeme umerudishwa tena kwa Fedhheha. Baraza la Wwakilishi walimwya Waziri alikuwa na dhamana ya Umeme kuwa hana adabu na anastahili kupigwa mikwaju/ Waziri alipoteza nafasi yake na kisiasa kabisa!
 
Lazima ajibu kwa jazba, more than 95% ya zeco customers wapo kwenye prepaid plan, hela yote sheni na Serikali yake wanalipana mshahara, Wanadai tra wanasomba hela yote ya tax, so wanakula kule tunakula huku, wakimwaga mboga tunaondoka na ugali.
Tulia Magu ataomba radhi tu.
Magu awaombe radhi wazanzibar la si hivyo wana mapinduzi watampindua pale alipo,hivi amesahau ule msemo "dhumari ikipigwa zanzibar hadi mrima inatikisikia"
 
Natoa rai fupi lakini muhimu kwa viongozi wa kiserikali na kichama (CCM) kuhusu suala ya deni la umeme la Zanzibar. Suala hili linapaswa kufanyiwa kazi kwa umakini na uangalifu mkubwa. Suala hili laweza kuvaa sura ya suala la kimuungano na hivyo kusumbua.

Wakuu wetu wawe macho na makini katika hili, nasisitiza bila kuchokoza. Yawezekana kabisa, kwa ninavyowajua Wazanzibari, umeme ukazimwa pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964. Nimelitazama suala hili katika jicho la tatu.

Mwafaaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wa TLS)

Walipowasaidia kuiba uchaguzi magufuli alisema atawasaidia kwa hali na mali hawezi kuukata umeme ni meno ya mbwa tu kwa lugha nyepesi .
 
Ht
Mzee Tupatupa, hakuna njia za kisheria za kuvunja muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuwa Hati ya Muungano haina kipengele cha kufanya hivyo. Bila shaka jaribio lolote la kuvunja muungano linapaswa kutafsiriwa kama uhaini. Tanesco kumkatia umeme mteja wake aliyekaidi kulipa bili ya umeme ni utaratibu wa kawaida tu wa kiutendaji.
Hati ya muungano unayo??
 
Back
Top Bottom