PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Umeme umewakatikia wabunge leo wakiwa kwenye semina elekezi ya kikao cha Bunge la bajeti cha mwezi wa 6, na katika hali isiyo ya kawaida, wabunge wa CDM wamesikika wakiimba CCM, CCM,CCM!...
Mbunge mmoja amejieleza kuwa wao kama wawakilishi wa wananchi wanapaswa kuona aibu kwa kufumbia macho mambo ya aibu kama hayo(hoja za umeme) wakiwa ndani ya Bunge!
Ila sijasikia vizuri walikuwa kwenye ukumbi gani!
Semina hiyo imelazimika kuahirishwa baada ya tukio hilo!
cHANZO:Habari ITV saa2.00usiku.
Mbunge mmoja amejieleza kuwa wao kama wawakilishi wa wananchi wanapaswa kuona aibu kwa kufumbia macho mambo ya aibu kama hayo(hoja za umeme) wakiwa ndani ya Bunge!
Ila sijasikia vizuri walikuwa kwenye ukumbi gani!
Semina hiyo imelazimika kuahirishwa baada ya tukio hilo!
cHANZO:Habari ITV saa2.00usiku.