Felix Mwinami
Member
- Aug 12, 2019
- 30
- 18
Wakuu mimi nina solar ya 160W chloride betri N100.
Natumia taa 12 na tv inch 15 cha ajabu nikiangalia tv masaa 3 mfululizo tv inaniandikia no signal. Je tatizo ni betri kuisha nguvu au ni dish?
Natumia taa 12 na tv inch 15 cha ajabu nikiangalia tv masaa 3 mfululizo tv inaniandikia no signal. Je tatizo ni betri kuisha nguvu au ni dish?