Umeme wa Mgao jijini Dar es salaam

Umeme wa Mgao jijini Dar es salaam

Mwasiti Nadhan kwenye thread ulioleta umeona ukweli ulopewa kuwa mbagala hakuna siku umeme wakatika.
Wivu utawaua ninyi!
Sijawahi kuona Mtanzania alikikubali upungufu wake...endelea kugurumisha generator.
 
Sijawahi kuona Mtanzania alikikubali upungufu wake...endelea kugurumisha generator.
Najua inakuuma ila kataa kubali kama hautaki jichinje.
Sikatai kipindi cha Kikwete nilikua nikitukana sana kwa umeme kukatika hovyo na biashara zangu kudorora kwasababu ya kutegemea umeme.
Lakini Magufuli tangu aingie umeme haukatiki mpk kuwe na tatizo la kiufundi na hauchelewi kurudi ukikatika yani maximum masaa manne mpk tano basi.
Lakin haizidi hapo na mnaweza kukaa mkasahau umeme umekatika lini na hakuna mgao wa umeme kipind cha Magufuli.
Wewe unaleta habari za kikwete kama hutaki meza wembe Dar hakuna mgao wa umeme.
 
Ninspoishi ni zaidi ya mwezi umeme haujawai katika zaidi ya dkk5. Maeneo mengine ya mini LA DSM pia kwa miaka ya hivi karibuni hali ya upatikanaji wa umeme umeimarika sana.
 
We jomba tulia bana....mwenzako mbna kafunguka tu...labda useme kuna mitaa inapendelewa km hko unapoishi wewe...

Jamaa wanafki ninyiiii!!
Poleni sana Dar hakuna mgao wa umeme kwa sasa.
 
Basi bado sana kumbe....inamaanisha hukatika lkn haukawii km kipindi kile...

Mi hku km si wiki ya pili hii basi sijui..
Manake mida yote nikiwa home sijaona umeme ukikatika
Ninspoishi ni zaidi ya mwezi umeme haujawai katika zaidi ya dkk5. Maeneo mengine ya mini LA DSM pia kwa miaka ya hivi karibuni hali ya upatikanaji wa umeme umeimarika sana.
 
Mm nina week ya tatu sijaona umeme ukikatika na nipo kimbiji village vip ww
We jomba tulia bana....mwenzako mbna kafunguka tu...labda useme kuna mitaa inapendelewa km hko unapoishi wewe...
 
Aisee, nchi yenye ukanda wa bahari inakosa wapiga mbizi? Somalia wachukue tu bahari yote sababu inaonesha wakenya wanaiogopa hata kufanyia mazoezi ya kijeshi, jamaa wapo hovyo kila idara
Nyani wa kitanzania kawaida yake yeye haoni kundule lake chafu zaidi.

MhXXIS5.png
 
Najua inakuuma ila kataa kubali kama hautaki jichinje.
Sikatai kipindi cha Kikwete nilikua nikitukana sana kwa umeme kukatika hovyo na biashara zangu kudorora kwasababu ya kutegemea umeme.
Lakini Magufuli tangu aingie umeme haukatiki mpk kuwe na tatizo la kiufundi na hauchelewi kurudi ukikatika yani maximum masaa manne mpk tano basi.
Lakin haizidi hapo na mnaweza kukaa mkasahau umeme umekatika lini na hakuna mgao wa umeme kipind cha Magufuli.
Wewe unaleta habari za kikwete kama hutaki meza wembe Dar hakuna mgao wa umeme.
Jina ndio mnabadilisha kutoka kwa mgao wa umeme Hadi kupotea kwa umeme 😂😂😂
 
Jina ndio mnabadilisha kutoka kwa mgao wa umeme Hadi kupotea kwa umeme [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kam hutaki jichinje km wale wahitimu wa vyuo huko kwenu wanao commit suicide kisa ukosefu wa ajira.
Lakini umeme Tz hususan Daresalam sio wa mgao.
Bali hukatika mara moja moja sana eidha week tatu mpk mwez ndio unaweza katika kwa matatizo ya kiufundi na huchukua maximum masaa manne tu unarudi.
Hakuna mgao Tz wewe baki kujifariji hutaki jichinje.
 
Wewe kam hutaki jichinje km wale wahitimu wa vyuo huko kwenu wanao commit suicide kisa ukosefu wa ajira.
Lakini umeme Tz hususan Daresalam sio wa mgao.
Bali hukatika mara moja moja sana eidha week tatu mpk mwez ndio unaweza katika kwa matatizo ya kiufundi na huchukua maximum masaa manne tu unarudi.
Hakuna mgao Tz wewe baki kujifariji hutaki jichinje.
😂😂😂😂 Hasira karibu ulie juu ya ukweli wasumeme mgao Tena Dar es salaam. Wacha nigajichinje nijitoe kafara angalau Kama mgao utakwisha hapo Dar 😂😂😂
 
😂😂😂 kafungua alafu anajikomentisha wa kwanza bahat Nzuri akakutana na za uso,
Alafu mkuu umeona kenya navy hawana wapiga mbizi asee hadi aibu imebidi wapiga mbizi wa kujitolea ndio wanataka wajitolee kutoa lile gari lililozama alafu wako busy hapa kufungua nyuzi za kipumbavu.
kwani hao wa kujitolea ni wa nchi gani?
 
MGAO GANI ULIOPO DAR YA TZ AU NAIROBI LABDA NDO KUNA COUNT YA DAR ILA DAR ES SALAAM YA TZ HAKUNA MGAO KWANZA UMEME UKIKATA TUNASHANGAA KWA NN UMEKATIKA NA HADI TANESCO LAIN ZAO ZA CM ZINAKOMA
 
MGAO GANI ULIOPO DAR YA TZ AU NAIROBI LABDA NDO KUNA COUNT YA DAR ILA DAR ES SALAAM YA TZ HAKUNA MGAO KWANZA UMEME UKIKATA TUNASHANGAA KWA NN UMEKATIKA NA HADI TANESCO LAIN ZAO ZA CM ZINAKOMA

Imelazima kutafuta ubunifu wa kuleta hbr za kuelezea mafanikio ya awamu ya 5, ukiweka heading ya kusifia utatupwa huuuko pia makamanda watakuita majina''kusifu na kuabudu''
 
Back
Top Bottom