Umeme wa Mgao jijini Dar es salaam

Umeme wa Mgao jijini Dar es salaam

Ni Nini kinachoendelea Dar es salaam/Tanzanian haswa upande wa umeme kupotea kila wakati Hadi generators zimekuwa zikiguruma kila siku Hadi kwa vinyozi.
Tumekuwa tukiimbiwa vile umeme upo 70% kwa wananchi kumbe Hali Ni tofauti kwa wananchi tukiyawacha ya kwenye makaratasi.
Ingependeza ungeleta na comment za kwenye huo uzi uliouambatanisha 😂😂😂 yaani kusikia 70 percent ya umeme tayari umeanza kulia lia ama kweli kuwa na jirani ambaye hataki kuona mazuri kwa mwingine ni majanga.
 
Ndio zao hawa, huficha maradhi ya kutunisha misuli lakini kimya kimya wanapitia magumu ya mwaka. Hiyo Dar umeme ukikatika yaani majenereta huwashwa na kurindima mjini hadi ukichaa.
 
Ingependeza ungeleta na comment za kwenye huo uzi uliouambatanisha 😂😂😂 yaani kusikia 70 percent ya umeme tayari umeanza kulia lia ama kweli kuwa na jirani ambaye hataki kuona mazuri kwa mwingine ni majanga.
Habari ndio hio Dar umeme Ni wa mgao na sio Mimi nimesema Bali Ni Mtanzania mwenzako...gurumisha generator yako bila kutusumbua 😭😭
 
Habari ndio hio Dar umeme Ni wa mgao na sio Mimi nimesema Bali Ni Mtanzania mwenzako...gurumisha generator yako bila kutusumbua 😭😭

Si walisema Electricity ni nyingi hata wanaexport tu TASMANIA?
 
Ingependeza ungeleta na comment za kwenye huo uzi uliouambatanisha 😂😂😂 yaani kusikia 70 percent ya umeme tayari umeanza kulia lia ama kweli kuwa na jirani ambaye hataki kuona mazuri kwa mwingine ni majanga.
Uzi kaanzisha huyu huyu mwasiti kwa lifekero lingine, huyu mwasiti ana id nyingi sana humu

eitha ni kupima ukweli mchungu kwamba sasa umeme Tanzania ni zaidi ya 70% na haukatiki ila uzuri kakutana na ukweli mchungu.
 
Uzi kaanzisha huyu huyu mwasiti kwa lifekero lingine, huyu mwasiti ana id nyingi sana humu

eitha ni kupima ukweli mchungu kwamba sasa umeme Tanzania ni zaidi ya 70% na haukatiki ila uzuri kakutana na ukweli mchungu.


😂😂😂 kafungua alafu anajikomentisha wa kwanza bahat Nzuri akakutana na za uso,
Alafu mkuu umeona kenya navy hawana wapiga mbizi asee hadi aibu imebidi wapiga mbizi wa kujitolea ndio wanataka wajitolee kutoa lile gari lililozama alafu wako busy hapa kufungua nyuzi za kipumbavu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kafungua alafu anajikomentisha wa kwanza bahat Nzuri akakutana na za uso,
Alafu mkuu umeona kenya navy hawana wapiga mbizi asee hadi aibu imebidi wapiga mbizi wa kujitolea ndio wanataka wajitolee kutoa lile gari lililozama alafu wako busy hapa kufungua nyuzi za kipumbavu.
More than 60% ya navy hawajui kuogelea! It's a shame!
 
😂😂😂 kafungua alafu anajikomentisha wa kwanza bahat Nzuri akakutana na za uso,
Alafu mkuu umeona kenya navy hawana wapiga mbizi asee hadi aibu imebidi wapiga mbizi wa kujitolea ndio wanataka wajitolee kutoa lile gari lililozama alafu wako busy hapa kufungua nyuzi za kipumbavu.
Aisee, nchi yenye ukanda wa bahari inakosa wapiga mbizi? Somalia wachukue tu bahari yote sababu inaonesha wakenya wanaiogopa hata kufanyia mazoezi ya kijeshi, jamaa wapo hovyo kila idara
 
Aisee, nchi yenye ukanda wa bahari inakosa wapiga mbizi? Somalia wachukue tu bahari yote sababu inaonesha wakenya wanaiogopa hata kufanyia mazoezi ya kijeshi, jamaa wapo hovyo kila idara
Ni aibu halafu hata hawaoni, wako busy na mambo ya kijinga,
Alafu ferry zao ni chakavu mnoo,
Ni aibu mno jeshi la navy kukosa wapiga mbizi,
Sasa vikitokea vita vya kwenye maji si watachapwa vizuri sana 😬😬😬
 
Mgao sehemu gani?anunue LUKU Au kuna Dar ingine labda Dareda sio Dar es salaam
 
Yani utele hadi umebaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni Nini kinachoendelea Dar es salaam/Tanzanian haswa upande wa umeme kupotea kila wakati Hadi generators zimekuwa zikiguruma kila siku Hadi kwa vinyozi.
Tumekuwa tukiimbiwa vile umeme upo 70% kwa wananchi kumbe Hali Ni tofauti kwa wananchi tukiyawacha ya kwenye makaratasi.
 
Huo umeme ni dar ipi? Mi kila siku nachek mpira hapa home,. Au kuna mtaa wa dar uko nairobi
 
Yani utele hadi umebaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa una dhambi sana uzi wa leo unaenda kuupandisha kwenye uzi wa 2014 wakati mgao wa umeme ulikuwa ni maarufu kama Diamond. Futa huo uzi wako toka JPM akamate usukani mgao ni hadithi labda kwa matatizo ya kiufundi.
 
Endelea kutumia generator
Jamaa una dhambi sana uzi wa leo unaenda kuupandisha kwenye uzi wa 2014 wakati mgao wa umeme ulikuwa ni maarufu kama Diamond. Futa huo uzi wako toka JPM akamate usukani mgao ni hadithi labda kwa matatizo ya kiufundi.
 
Ndio maana threads za uongo za 70% connectivity haziwezi anzishwa jukwaa la siasa,,,.watu bure sana
 
Back
Top Bottom