Born Star
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 365
- 257
jamani naomba ushauli wenu eneo nililopo halina umeme kwa hiyo nataka kutengeneza umeme kwa kutumia betri la gari na inveta kwa matumizi ya kuchaji cim na redio na tv je inawezekana ushauli hata kama una njia nyingine unayo ijua pleas ushauli wako unahitajika