Umeme umekatika nchi nzima?

Umeme umekatika nchi nzima?

Bavicha ni baraza lilojaa vijana wajinga na waropokaji wengi!
Mimi nimeangalia habari na umeme hupo...

sio wajinga tu ni Baraza la vichaa chadema(Bavicha) kama huyo luku imemkatikia anaeneza uzushi. Hao vichaa ni kazi maalum wamepewa hiyo
 
Sasa hivi ni saa 19.58

Lakini inavyoonekana TANESCO wamekata umeme sehemu kubwa ili wananchi wasione kilichozungumzwa ubungo hasahasa alipoingia mwenyekiti wa CDM

Serikali na Tanesco wana mambo ya kizamani sana

TUNAJUA HUU UMEME UMEZIMWA MAKUSUDI HILI WATU WASIONE TAARIFA YA HABARI LAKINI SISI TULISHAJUA KUWA SIKU ZOTE SERIKALI INAPOTAKA KUWANYIMA WANANCHI HABARI INAKIMBILIA TANESCO, IKITAKA KUIBA HELA INAKIMBILIA TANESCO

JE KWEKO HUKO UMEME UPO?MIMI NIPO TEGETA
nipo mwanza town kamanda umeme upo na tumeangalia taarifa ya habari bila tatizo
 
Ulongo ungine bhana, eti umeme meme mekatika chi nzima!
 
Mbezi toka asubuhi majanga hadi sasa 21.03 hrs Hanna stima!
 
Naona na TANESCO wamegoma maana toka jana umeme hakuna.Sasa na wao wanamsubiri KUB.Haya KUB tusaidie na penxe hizi haw aTTAANESCI wamegoma kutupa umeme.Visingizio haviishi.Sasa na hili nalo ni CHADEMA.....
 
Back
Top Bottom