Umeme umekatika nchi nzima.

umeme umekatika manyara,karatu,singida na kwingineko tokea jana usiku wa saa tano hadi leo ndo umerudi
 
Acha uzushi...DSM upo wa kumwaga!!!

We acha upumbavu wewe! umeme gani wa kumwaga uko DSM? mimi nimetaabika kukusanya vijisenti na hivi sasa nataka kujenga kibanda kwenye kiwanja changu mbweni mpiji, viwanja vilivyopimwa mwaka 2002 na serkali ya ccm na kuwagawia wananchi kwa gharama kubwa na tunaendelea kila mwaka kulipia kiwanja LAKINI hadi leo, miaka 10 imeishapita hakuna umeme wala maji kwenye hayo maeneo, tuanaambiwa eti tuungane ili tuvute umeme na maji kutoka maeneo ya mbali. Halafu wewe lofa unasema umeme wa kumwaga??? usitutie machungu sisi tuliopigika na udhalimu wa kibwege and incompetent wa magamba wasiojua wanatakiwa kufanya nini zaidi ya kusema ccm itatawala milele, ili iweje??.
 
wamekataaaa,,watakataje???,watakataje???tunaambiwa mgao umeisha wanakata

Labda ni mwendelezo wa Loadshedding za mezani. Minister of Power wiki chache zilizopita alisema Bungeni kuwa migao zamani ilikuwa ni suala la kupanga mezani; anyway yawezekana historia ikajirudia ktk utawala wake! Je amekubali hili?
 
viwanda vya uongo @ work.
Kweli jk hakukosea.
Nipo dar, tangu jana asubuhi umeme upo na mpaka sasa haujakatika.
Amakweli bongo tambarare, Kunawatu wanahamu na mgao ili wapate la kusema.
 
Back
Top Bottom