Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
mkuu wadanganyika miyeyusho tu wanajifanya wanahasira halafu hamuna lolote..
bora waroho wamadaraka wabadilike tu kuliko kusikiliza hawa raia kwani wanaboa mbaya..
kwani wao ccm hawautumii huo umeme? Au ccm ndo wanaokausha mabwawa ya vyanzo vya umeme?,, hao raia wajitokeze panapohusika waeleze jinsi ccm inavyoshiriki kwa kukatika kwa umeme nchi,, maoni yao labda yatamaliza hili tatizo
Inatubidi tuisifu ccm kwa kuendesha tz kwa miaka 34, bila mgao wa umeme. Kamgao ka mwaka mmoja tu kanatupagawisha!