Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Habari za asubuhi wadau
Asubuhi ya leo nimepigiwa simu na rafiki akaniambia jambo la kushangaza sana.
Katika baadhi ya maeneo ndani ya jiji la Dar, kila wakati umeme unapokatika utasikia makelele mengi ya washangiliaji.
Wote kwa lugha moja wanasema C C M C C M SI SI EMU SI SI EMU SI SI EMUUUU
Ningependa kusikia wakazi wa jiji hilo wanasemaje? Je kuna ukweli ndani yake au ni ugeni wa rafiki tu aliyefika mjini?
Kama kuna ukweli nadani yake naomba tujadiri au tujifikirishe kuhusu haka katabia; je
kana maana gani?
kana tupeleka wapi?
kameasisiwa na nani?
kana tija kweli?
kana maudhui gani?
kanawakera kera kweli wadau?
n.k n.k!!
Asubuhi ya leo nimepigiwa simu na rafiki akaniambia jambo la kushangaza sana.
Katika baadhi ya maeneo ndani ya jiji la Dar, kila wakati umeme unapokatika utasikia makelele mengi ya washangiliaji.
Wote kwa lugha moja wanasema C C M C C M SI SI EMU SI SI EMU SI SI EMUUUU
Ningependa kusikia wakazi wa jiji hilo wanasemaje? Je kuna ukweli ndani yake au ni ugeni wa rafiki tu aliyefika mjini?
Kama kuna ukweli nadani yake naomba tujadiri au tujifikirishe kuhusu haka katabia; je
kana maana gani?
kana tupeleka wapi?
kameasisiwa na nani?
kana tija kweli?
kana maudhui gani?
kanawakera kera kweli wadau?
n.k n.k!!