Umeme c tatizo!

Umeme c tatizo!

DEVINE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
536
Reaction score
87
"Je una njia ya kufanya isiwe watatizo ili sie wenye kaz za kutegemea umeme tusilale na njaa?" Swali hili aliulizwa kijana mmoja huko Nanjilinji na muandishi wa habri,naye akajibu "Umeme ndio nini? Huku kwetu umeme c tatizo la kutulaza na njaa"
 
Serikali itatumia pesa nyingi sana maadhimisho ya miaka 50 uhuru wakati wananchi waliowengi hawajui umeme ni nini na hawajui kusoma na kuandika.....
 
serikali itatumia pesa nyingi sana maadhimisho ya miaka 50 uhuru wakati wananchi waliowengi hawajui umeme ni nini na hawajui kusoma na kuandika.....

kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom