Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Gari hili nikija nalo bongo Je Serikali si watalichukuwa jamani?
Gari hili nikija nalo bongo Je Serikali si watalichukuwa jamani?
Mkuu Father of All Umenichekesha sana nitakuja nalo ili nimpe Mkuu wa nchi awamalize mafisadi wote kwa hilo gari nataka Mkuu wa nchi awamalize mafisadi kwa kutumia gari hilo unasemaje?Mkuu Mzizimkavu gari lako linafaa utue nalo Mugadisho au DRC utapata mapokezi makubwa. Au siku moja pita nalo mitaa ya Kandahar na Yemen na Tripoli utapigiwa saluti. Kwa Bongo majambazi yataliiba kama siyo Uamsho kulikodisha wakakudhulumu kwa kusema unachangia kazi ya Mnyazi Mungu.
Mkuu father of All wewe ni SISISI EMU KUMBEEEEEEEEEEEEEE nimekugunduwa.................................Mkuu MziziMkavu, mkuu atakumaliza wewe maana unachopendekeza ni kwamba ajimalize mwenyewe. Sikushauri. Hata kama uwezo wake wa kupembua mambo ni haba, kwa hili atang'amua. Hilo gari kama halina soko hapo ulipo si ulipeleke Austin Texas kwa Joji Kichaka au mpelekee Bob Mugabe akawakomeshe wapinzani. Ikizidi ikapungua basi gari lako mpelekee maalim Seif Shariff ili ajitoe kwenye kugeuzwa nyumba ndogo na mafisadi. Nadhani tumeelewana.
Mkuu Father of All Nimekuelewa vizuri asante.Kama unamaanisha CCM yaani Committed Comrades for Manunimission right. Kama ni chama cha majambazi na magaidi wrong. You know what I mean.
bibie King'asti kwa hiyo bongoland kwa dhuluma wanaongoza????????????Hii utanyang'anywa kwa sababu za kiintelijensia aisee. Uonevu ndo hulka ya bongoland.
Mkuu Father of All Nimekuelewa vizuri asante.
bibie King'asti kwa hiyo bongoland kwa dhuluma wanaongoza????????????
Mkuu Father of All Umenichekesha sana nitakuja nalo ili nimpe Mkuu wa nchi awamalize mafisadi wote kwa hilo gari nataka Mkuu wa nchi awamalize mafisadi kwa kutumia gari hilo unasemaje?
Mkuu usiwe na wasiwasi, wewe leta mimi ntaendesha kama unaogopa....
Hivi ingekuwaje kama shekhe Ponda angekuwa anatumia mkoko kama huu, Polisi wangemsogelea?Gari hili nikija nalo bongo Je Serikali si watalichukuwa jamani?
Hili gari wakilipata wazee wa magamba wataacha kwenda kwenye kampeni na bastola zao viunoni.Gari hili nikija nalo bongo Je Serikali si watalichukuwa jamani?