.nimeelewa hizo zingine ila ya 4+4 ndio sijaambulia kitu..
Ukichukua 4 ukaunganisha 4 kwa kuigeuza (opposite) unapata arrow/mshale
.nimeelewa hizo zingine ila ya 4+4 ndio sijaambulia kitu..
mkuu..vipi mbn unataka kumjaribu shemeji yako?
bebii....usiwe na wasi wasi na huyo....hana neno......
kwahiyo mda wote ulikuwa unahangaika kutafuta jibu?wapi bana?
Hayo manamba si unayajumlisha kwa kuyaunganisha instead of numericale? Ndo unapata hizo figure zenye umeainisha hapo juu...
Mfano: 7+7, ukifanya presumption kuwa hizo si namba ila ni michoro tu, ukigeuza 7 ya kwanza halafu ukiifungamanisha na 7 ya pili unapata umbo la triangle.
Hapo je?
Haya, amka kumekucha!
Excellent,hv huon mie ambae nilisoma inchi isiyofundisha hesabu unanione?au ndio unaninyanyapaa!!!!2+2=samaki
3+3=8
7+7=pembe tatu
4+4=mshale
8+8=kipepeo
umeelewa nachomaanisha?
Jamii Forums....Home Of Great Thinkers......
So, do Mphamvu symbolize them Great Thinkers?
haaaaaaaaaaa,
umefanya nibanwa mimi kwa kucheka.
ngoja niwahi huko mbele.
ooh yeah....
mbona mademu wa Chit-Chat hawashoboki sasa? Au unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa?
...bebii..nini hicho umeandika hapo...au unataka kumshobokea watu...lol
Haya nasubiri bana,Cantalisia nitakuulezea halafu utajiuliza mwenyewe kivipi sijagundua?
Haya nasubiri bana,
Nikijua tu humu ofin kuna mtu nitaenda kumzingua nayo!!!
mwaga swagga uone kama hatutashoboka....