Umekosea wapi taifa langu?

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Ni muundo wa uongozi uliokosewa?
Ni aina ya viongozi wasio sahihi?
Ni aina ya watu wasioongozeka?
Au ni vile mataifa makubwa yanatuonea!
Umekosea wapi taifa langu!

Ni wazi kwamba hatuna umoja wa kitaifa na ni wazi kwamba kila mmoja anachimba kaburi la mwingine

Kabla hatujaanza kuhangaika na Marekani tuongee kwanza sisi wenyewe.
Baba anaweza kuwa na nguvu kweli lakini mtoto akichukia akaweka mkono mmoja wa mchanga kwenye chakula wote wanalala njaa.
Na ndio tulikofika!

Hatutaweza kwenda mbele kibabe, tuongee kama taifa kwanza!
Tuongeeni jameni!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM walikuwa wanajua kwamba Rais wa nchi atatoka ccm lakini wakacheza kamali, Rais wa nchi hapatikani kwa bahati nasibu
 
Ni muundo wa uongozi uliokosewa?
Ni aina ya viongozi wasio sahihi?
Ni aina ya watu wasioongozeka?
Au ni vile mataifa makubwa yanatuonea!
Umekosea wapi taifa langu!

Ni wazi kwamba hatuna umoja wa kitaifa na ni wazi kwamba kila mmoja anachimba kaburi la mwingine

Kabla hatujaanza kuhangaika na Marekani tuongee kwanza sisi wenyewe.
Baba anaweza kuwa na nguvu kweli lakini mtoto akichukia akaweka mkono mmoja wa mchanga kwenye chakula wote wanalala njaa.
Na ndio tulikofika!

Hatutaweza kwenda mbele kibabe, tuongee kama taifa kwanza!
Tuongeeni jameni!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo tunaongozwa na "Washamba na Malimbukeni" Kwa sauti ya kiongozi wa Chama.
 
Tunahitaji uhuru wa kweli, ni lazima taifa la zamani lianguke kwanza ndipo taifa jipya lenye misingi ya uhuru na haki liinuliwe, mimi naona tunaelekea sehemu sahihi, watanzania hawakupigania uhuru mwaka 1961, tulipewa kama pelemende dukani kwa mangi, na mwalimu akaamu kujenga taifa la wajinga na waoga ili atimize ndoto zake za kisiasa na kiuongozi kirahisi (japo alijuutia sana baadae baada ya kuona matokeo yake). Hivyo basi muda sahihi utafika, damu itamwagika kama ikibidi, na taifa litabatizwa kwa moto, Tanzania hii iliyojaa siri na ulaghai itakufa, mataifa mawili au zaidi mapya yatazaliwa.

Kinyume na hapo waliopo kwenye nafasi za maamuzi wafanye maamuzi sahihi kulinusuru taifa, wahakikishe kuna demokrasia ya kweli na utawala wa sheria, kamwe watu hawatopigana.
 
Tulikosea kwa kusoma kwa lugha ya kiingereza. Tunaowaita wasomi ni watu walikariri madude ya kiingereza tu ila ni chenga. Mimi mwenyewe ni chenga.
Ni muundo wa uongozi uliokosewa?
Ni aina ya viongozi wasio sahihi?
Ni aina ya watu wasioongozeka?
Au ni vile mataifa makubwa yanatuonea!
Umekosea wapi taifa langu!

Ni wazi kwamba hatuna umoja wa kitaifa na ni wazi kwamba kila mmoja anachimba kaburi la mwingine

Kabla hatujaanza kuhangaika na Marekani tuongee kwanza sisi wenyewe.
Baba anaweza kuwa na nguvu kweli lakini mtoto akichukia akaweka mkono mmoja wa mchanga kwenye chakula wote wanalala njaa.
Na ndio tulikofika!

Hatutaweza kwenda mbele kibabe, tuongee kama taifa kwanza!
Tuongeeni jameni!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Science ya Time Travel ingekuwa inawezekana, kwakweli lazima ingetuhusu kama Taifa.
 
Hahaha mnamtafuta mchawi ccm?! Chama kizima magagula.
Hata mwenyekiti wake anafahamu mchawi ni nani.
 
Back
Top Bottom