Umekagua daftari la mwanao?

Umekagua daftari la mwanao?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
734224_10200884523063222_536996021_n.jpg
 
Hahahahaha. Umenikumbusha, kuanzia leo nitaanza kukagua, isije 2015 akamchora Messi au Mwana FA kwenye pepa ya Mulugo na Ndalichako
 
Huwa nakagua mara kwa mara kwani ilishawahikunitokea mwanangu aliacha kwenda shule badala yake anaenda chimbo mwisho wa siku mitihani ukamuumbua kwani alizungusha karibia mitihani yote. Kama mzazi ilinishtua nilifuatilia ndipo nikagundua kuwa alikua anaenda chimbo. Ni muhimu kukagua daftari za watoto wetu ili kujua wanachojifunza na kama wanaelewa au la ili tuweze kuchukua hatua mapema
 
Huyu atakuwa grade 1 or 2!! Check Essay yake!

 
sasa wakuu tutafuteni dawa ya maradhi hayo tusisishie comments tu JF
 
Nashukuru kwa kutukumbusha kukagua daftari za watoto.Aidha napenda nitoe ushuuda kuwa vyema na very Good pamoja na Excellent nyingi kwenye daftari za watoto si mara zote zinaashiria maendeleo mazuri kwa watoto, kwani mara nyingine ni vichocheo kwa wazazi wazidi kutoa Ada kubwa hasa katika baadhi ya shule za serikali.Binafsi bila kumumunya maneno nasema wazi kuwa nimeyabaini kwenye shule moja ya sekondari pale Dodoma inaitwa DORETA ( Dodoma Retired Teachers Association ) secondary school. Nlikuwa nikigua nakuta alama na masifa kibao kama good na Excellent kwa mdogo wangu baadaye nilistukia ilikuwa nidanganya toto kunilidhisha kuwa mtoto anaendelea vizuri nizdi kutoa ada

Kwa hiyo wazazi na walezi tuweni makini kwa hilo, vinginevyo tutaendelea kusingizia miujiza na kushutumu baraza la mitihani kwa usahihishaji.
 
Back
Top Bottom