Soma tena mku, nimeihariri.Mbona hiyo mada umeleta mpya tena
Mlifanya vyema sana. Ni heri mkaendeleza tena utamaduni huo.Alaaah ๐คฃ nakumbuka miaka ya 2005 internet Cafe tunaenda kuangalia mapilau tukirudi Hostel kila mtu na kipande chake cha Mshindi Soap anaenda zake bafuni.
Priceless kabisaa ilikuwa
Uzuri mie sina GEREZA langu, ๐๐๐๐๐Itikadi zako ziko positive sana japo Wakuda huwa wanakukanyagia ๐ ๐ ๐
Enjoy ๐L
Loooh!!!!! Kwa mie ambae Niko baa muda huu na mi lager yangu inakuaje hapo????
Daah ila we jamaa ๐Ukitaka hii mada lets go for the worst...
Dunia ina ustaarabu wake. Huwezi fanya kitu kwa sababu una uhuru wa kufanya. Uhuru wako unaishia pale uhuru wa mwingine unapoanzia.
Tuseme je unaweza kukata gogo hadharani? Je unaweza kuwa unajambajamba mbele ya watoto? Unaweza kula mavi? Unaweza kupiga kelele mbele za watoto?
Uhuru una mipaka una kiasi. Ukitaka tusiwe na mipaka binadamu sasa tungekuwa watu wa hovyo. Mipaka ni muhimu.
Yuko sahihi, huwezi kunywa sumu kisa tu unahisi kiu!Daah ila we jamaa ๐
Kwahiyo huwa unajibu kabisa, nimekubali na, mi sitaki bana au unawakataaje mkuu?Yuko sahihi, huwezi kunywa sumu kisa tu unahisi kiu!
Kutumia kauli ngumu sanaYuko sahihi, huwezi kunywa sumu kisa tu unahisi kiu!
Kuna watu kuelewa ni ngumu sana!Kutumia kauli ngumu sana
Mzee wa mvinyo kwenye ubora wako.Huwezi kunywa pombe kwa sababu umeokoka๐ฎ
Ongeza 2, naja kulipaL
Loooh!!!!! Kwa mie ambae Niko baa muda huu na mi lager yangu inakuaje hapo????
Kina secretarybird ๐Kuna watu kuelewa ni ngumu sana!
Asante.Ongeza 2, naja kulipa