Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,453
Trump anasutwa hahahaha
Hata sisi tumechemkaIla wamarekani nao walichemka sana kulichagua hilo jamaa
Kusaini makubalianoKAMA KAGOMEA KITU.... SO IPO KAMA WANAMUOMBA HUYO ALOKAA. BAADA YA KUKOMOA KITU LAAABDA
Trump anataka Russia irudi kundini.. Trump aliondoka kabla mkutano kuisha katimkia Singapor kumwah Kim"Nasema hivi hatuitaki Urusi katika G7, tafuta pa kumuweka" huyo mama anasema.
"Eti eeh" Trump anamjibu.
WanasutanaHamjaiona hii nyie...
View attachment 799875
Marekani ni taifa kubwa.Toa mtazamo / maoni/ulichojifunza. View attachment 799318
Ila wongo mbaya huyo jamaa lisura lake banaToa mtazamo / maoni/ulichojifunza. View attachment 799318