Ni kweli mkuu lakini kama ulifuatilia mchakato toka mwanzo utabaini walianza na watumishi wa umma/serikali. Sasa kilichofanyika hapo ni kile kile ambacho hata kwenye utoaji huduma kipo yaani FIFO=First In First Out.Huu nao nimkanganyiko usio wa lazima kwani watumishi wa umma ndo watanzania wa kweli kuliko wengine? kitu ambacho wangefanya ni kuhkikisha wanawamaliza wakazi wote wa dar bila kubagua ni mtumishi ,mfanyabiashara,au asiye na kazi baada ya hapo ndo wahamie mikoa mingine.
Ni kweli mkuu lakini kama ulifuatilia mchakato toka mwanzo utabaini walianza na watumishi wa umma/serikali. Sasa kilichofanyika hapo ni kile kile ambacho hata kwenye utoaji huduma kipo yaani FIFO=First In First Out.
Wapi tena mkuu?[/COLOR]
Ha ha ha ha ha umenikumbusha mbali kaka
Mbona wameeleza vizuri kwamba kwa Dar na Kilombero ilikuwa pilot na baada ya hapo walikuja Dar wakazi wote wakatakiwa kuanza fomu ambazo tayari, wameripoti kwamba wanazifanyia kazi na hivi karibuni wanachukua alama za vidole, picha baada ya kugawa IDs kwa waofanya kazi serikalini.Huu nao nimkanganyiko usio wa lazima kwani watumishi wa umma ndo watanzania wa kweli kuliko wengine? kitu ambacho wangefanya ni kuhkikisha wanawamaliza wakazi wote wa dar bila kubagua ni mtumishi ,mfanyabiashara,au asiye na kazi baada ya hapo ndo wahamie mikoa mingine.
Wadau hivi huu mchakato wa viatmbulisho vya taifa ambao ulizinduliwa kwa mbwembwe na tukashudia viongozi waandamizi wa serkali wakigawiana umeishia wapi? Mara ya mwisho ulikuwa Dar na Zanzibar baada ya hapo ikawa kimya kulikoni?
Tusaidieni kufahamu kwa mnaojua kinachoendelea.
Mbona wameeleza vizuri kwamba kwa Dar na Kilombero ilikuwa pilot na baada ya hapo walikuja Dar wakazi wote wakatakiwa kuanza fomu ambazo tayari, wameripoti kwamba wanazifanyia kazi na hivi karibuni wanachukua alama za vidole, picha baada ya kugawa IDs kwa waofanya kazi serikalini.
Vitambulisho vya taifa ni utapeli mwingine wa ccm nchi hii.
Na VAZI LA TAIFA JE!???
Haah!! kipindi kagasheki akiwa naibu waziri mambo ya ndani, mbele ya JK akisisifia eti ''mheshimiwa rais naakuahidi kutekeleza ilani ya CCM kwamba kabla ya mwisho wa mwaka 2012 kila mtanzania atakuwa na kitambulisho cha taifa..., hadi sasa yaleyale ya serikali dhaifu..........!
Wadau hivi huu mchakato wa viatmbulisho vya taifa ambao ulizinduliwa kwa mbwembwe na tukashudia viongozi waandamizi wa serkali wakigawiana umeishia wapi? Mara ya mwisho ulikuwa Dar na Zanzibar baada ya hapo ikawa kimya kulikoni?
Tusaidieni kufahamu kwa mnaojua kinachoendelea.
Kwa walio makazini kuna baadhi ya ofisi wameshapewa vitambulisho. Binafsi nikitazama ni zoezi ni gumu sana. Na inaonekana NIDA hawakujiandaa hasa suala la vitendea kazi na watendaji kazi.
Kwa walio makazini kuna baadhi ya ofisi wameshapewa vitambulisho. Binafsi nikitazama ni zoezi ni gumu sana. Na inaonekana NIDA hawakujiandaa hasa suala la vitendea kazi na watendaji kazi.
Ndiyo maana nikakwambia sio kila taarifa lazima wewe uione kwa urahisi. Taarifa nyingine zimekuwa coded, labda kukusaidia tu kama una kitambulisho hicho sasa hivi geuza upande wa nyuma.
Utaona maandishi: THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA CITIZEN IDENTINTY CARD, chini ya hapo kuna tarakimu 20. Tarakimu 8 za kwanza zinaonesha mwaka wako wa kuzaliwa.
Kuhusu kutokuwa na jinsi, sio kweli usipotoshe umma kwa kuwa mara baada ya "jina la mwisho" pale chini, jinsi ya mmiliki wa ID ipo. Baada ya hapo inafuatia tarehe ya mwisho wa matumizi yake.
Naomba kutoa taarifa.
Kwa walio makazini kuna baadhi ya ofisi wameshapewa vitambulisho. Binafsi nikitazama ni zoezi ni gumu sana. Na inaonekana NIDA hawakujiandaa hasa suala la vitendea kazi na watendaji kazi.
Wanavigawa kwa watumishi wa serikali kwa wao ndio watanzania sana au?Soma magazeti ya Habari Leo ukurasa wa pili na Daily News ukurasa wa nne wanagawa Vitambulisho huko.