Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Jul 11, 2012 #1 ............. Attachments 1.jpg 59.3 KB · Views: 797
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,015 16,447 Jul 11, 2012 #2 Hizo fulana walizovaa hao wachezaji sio halisi,ni rangi zimechorwa mwilini..au macho yangu?
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Jul 11, 2012 #3 hata mimi kama naona ni rangi zimepakwa coz izo uwa zinabana ila uyo mwenye nyeupe kitu milk kimelala kabisa
hata mimi kama naona ni rangi zimepakwa coz izo uwa zinabana ila uyo mwenye nyeupe kitu milk kimelala kabisa
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Jul 12, 2012 #6 Mashabiki karibu wote ni wanaume!
BornTown JF-Expert Member May 7, 2008 1,716 481 Jul 12, 2012 #7 hawajavaa t-shirt wako vifua wazi wamepaka rangi ionekane kama ni t-shirt
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Jul 13, 2012 #9 Huyo mwenye kitovu kimewekwa Kikuku, KITAMBI kimeanza....
Cynic JF-Expert Member Jan 5, 2009 5,144 1,648 Jul 13, 2012 #11 Hawachezi ki 'timu' (licha ya kuwa na 'jezi' 2 tofauti)
Johnsecond JF-Expert Member May 4, 2010 1,076 211 Jul 13, 2012 #13 Nimegundua kuwa nawapenda wote isipokuwa washabiki wao
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Jul 13, 2012 #14 kwamba wazungu wana akili tu za darasani!
K kimini Member Nov 22, 2010 40 3 Jul 13, 2012 #15 i agree wit*u kuwa wamepakwa rangi tu wahajavaa t shirt.
Sangarara JF-Expert Member Sep 29, 2011 13,100 5,649 Jul 13, 2012 #16 Ninaona namna mwanamke anavyoweza kujidhalilisha mwenyewe.
Makanyaga JF-Expert Member Sep 28, 2007 10,327 6,850 Jul 13, 2012 #17 Dotworld said: Click to expand... Wangewachora hata chini, kuanzia kwenye kitovu kushuka chini!
Iselamagazi JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,922 6,009 Jul 13, 2012 #18 Makanyaga said: Wangewachora hata chini, kuanzia kwenye kitovu kushuka chini! Click to expand... Kaaazi kweli kweli!
Makanyaga said: Wangewachora hata chini, kuanzia kwenye kitovu kushuka chini! Click to expand... Kaaazi kweli kweli!
Kyaiyembe JF-Expert Member Dec 1, 2011 1,706 665 Jul 13, 2012 #19 Mdhamini wao mkuu ni miili yao, Maana aamewekwa kwenye T-shirt nzima!.