Kuwa makini na unachochapisha kwenye mitandao ya kijamii

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
13,525
22,019
Kuwa Makini na Unachochapisha kwenye Mitandao ya Kijamii

Unachofanya kwenye mitandao ya kijamii ni sehemu ya mahojiano(interview) yako ya kazi kwa siku zijazo.

Kila picha, video na neno unalochapisha kwenye mitandao ya kijamii inakupa jina.

Vile unavyowaita watu kwenye mitandao ya kijamii kunakudhihirishia vile ulivyo na sio wao walivyo (wapachike kila tusi na hilo tusi litarudi kwako kwa kuwa ndivyo ulivyo). Hapo unahukumiwa kila wakati.

Utafiti wa Careerbuilder (trusted for source job opportunities & advice) wa 2018 ulionyesha kuwa 70% ya waajiri walitafuta candidates kwenye mitandao ya kijamii kabla ya kufanya uamuzi wa kuajiri.

Hata wale walio katika biashara na shughuli za kibinafsi, kila kitu unachofanya kwenye mitandao ya kijamii huvutia au kuwafukuza wateja watarajiwa. Ukichapisha picha umevaa chupi huku juu upo kifua wazi kama yule mdada wa shinyanga unajiharibia heshima yako.

Tabia yako ya mitandao ya kijamii inaonyesha maadili yako.

Hata ukiwa umeajiriwa hujatoka kwenye ndoano. Utangazaji wako wa mitandao ya kijamii unaweza kufanya au kuharibu matarajio yako ya kazi.

Tumia mwonekano wako wa mitandao ya kijamii kukuza taaluma yako.

Kwa nini uchapishe mtandaoni kitu kitakacho haribu kazi yako mwenyewe?

Always play the role that works for you

Ubarikiwe.
 
Hii ni nzuri ila inawahusu zaidi wenye matarijio ya kuajiriwa na walioajiriwa. Kwa wengine labda iwe kama rejea tu ya maadili kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli binafsi
 
Hii ni nzuri ila inawahusu zaidi wenye matarijio ya kuajiriwa na walioajiriwa. Kwa wengine labda iwe kama rejea tu ya maadili kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli binafsi
Hata ukijiajir, huwezi ukawa mkurugenz wa kampuni yako af uwe mtu wa hovyo mitandaon utarajie taasis zivutiwe na shughul zako kufanya kazi na wewe.
Ndio maana akina vunjabeinwote hawa na uhuni wao ila mitandaoni wanajitahid sana ku behave.

Maovubyao yote huwa yanakuja kama tetesi tuu toka kwa watu baki
 
Kuwa Makini na Unachochapisha kwenye Mitandao ya Kijamii

Unachofanya kwenye mitandao ya kijamii ni sehemu ya mahojiano(interview) yako ya kazi kwa siku zijazo.

Kila picha, video na neno unalochapisha kwenye mitandao ya kijamii inakupa jina.

Vile unavyowaita watu kwenye mitandao ya kijamii kunakudhihirishia vile ulivyo na sio wao walivyo (wapachike kila tusi na hilo tusi litarudi kwako kwa kuwa ndivyo ulivyo). Hapo unahukumiwa kila wakati.

Utafiti wa Careerbuilder (trusted for source job opportunities & advice) wa 2018 ulionyesha kuwa 70% ya waajiri walitafuta candidates kwenye mitandao ya kijamii kabla ya kufanya uamuzi wa kuajiri.

Hata wale walio katika biashara na shughuli za kibinafsi, kila kitu unachofanya kwenye mitandao ya kijamii huvutia au kuwafukuza wateja watarajiwa. Ukichapisha picha umevaa chupi huku juu upo kifua wazi kama yule mdada wa shinyanga unajiharibia heshima yako.

Tabia yako ya mitandao ya kijamii inaonyesha maadili yako.

Hata ukiwa umeajiriwa hujatoka kwenye ndoano. Utangazaji wako wa mitandao ya kijamii unaweza kufanya au kuharibu matarajio yako ya kazi.

Tumia mwonekano wako wa mitandao ya kijamii kukuza taaluma yako.

Kwa nini uchapishe mtandaoni kitu kitakacho haribu kazi yako mwenyewe?

Always play the role that works for you

Ubarikiwe.
Mimi niko zangu huku kwa mzee biden, job kama lote NASA Florida. Nani atake kazi zenu za kijungu jiko
 
Hawa warembo na wanamuziki imekuwa likelly kuteuliwa kuwa viongozi kama wakuu wa wilaya, wakurugenzi, wabunge na mawaziri. Sasa ukute huko nyuma walipost utopolo wao kama hawa mastaa tunaowaona wanachoposti ni uhuni mtupu, mara mapaja nje nje, mara vifua vyao machungwa yanaonekana. Je kuna mkulu anaweza kuwateua wawe viongozi? Mwingine kaposti majibizano ya matusimatusi, ngonongono ina maana hajui ukomo wa hayo aliyoyaposti kwamba hudumu hata kama ukiyafuta kwenye ukurusa wako yatakuwa yapo kwenye server kuu? Watu wanajinyima fursa za kupata uteuzi kutokana na kuweka rekodi hasi mitandaoni
 
Kuwa Makini na Unachochapisha kwenye Mitandao ya Kijamii

Unachofanya kwenye mitandao ya kijamii ni sehemu ya mahojiano(interview) yako ya kazi kwa siku zijazo.

Kila picha, video na neno unalochapisha kwenye mitandao ya kijamii inakupa jina.

Vile unavyowaita watu kwenye mitandao ya kijamii kunakudhihirishia vile ulivyo na sio wao walivyo (wapachike kila tusi na hilo tusi litarudi kwako kwa kuwa ndivyo ulivyo). Hapo unahukumiwa kila wakati.

Utafiti wa Careerbuilder (trusted for source job opportunities & advice) wa 2018 ulionyesha kuwa 70% ya waajiri walitafuta candidates kwenye mitandao ya kijamii kabla ya kufanya uamuzi wa kuajiri.

Hata wale walio katika biashara na shughuli za kibinafsi, kila kitu unachofanya kwenye mitandao ya kijamii huvutia au kuwafukuza wateja watarajiwa. Ukichapisha picha umevaa chupi huku juu upo kifua wazi kama yule mdada wa shinyanga unajiharibia heshima yako.

Tabia yako ya mitandao ya kijamii inaonyesha maadili yako.

Hata ukiwa umeajiriwa hujatoka kwenye ndoano. Utangazaji wako wa mitandao ya kijamii unaweza kufanya au kuharibu matarajio yako ya kazi.

Tumia mwonekano wako wa mitandao ya kijamii kukuza taaluma yako.

Kwa nini uchapishe mtandaoni kitu kitakacho haribu kazi yako mwenyewe?

Always play the role that works for you

Ubarikiwe.
shukrani kea somo zuri.


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom