Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,435
- 166,892
JF imenifanya nijue kwamba kupata mke mtandaoni ni jambo gumu sana!
Pia imenifanya nipate pahala pa kukimbilia nikitaka kubwatuka kwa kicheko - nako nikucheck mabandiko ya Bujibuji na yale ya Sura-ya-Kwanza yaliyopo!
JF puts a smile on ma face even when there was supposed to be tears on ma cheeks.
Huwa nacheka,nawaza,nacalculate,naimagine,nafantasize,nakujifunza mengi sana
and above all,JF kwangu ni kisima cha habari
Mi nimefaidika na mengi isipokuwa 1 la msingi sana kwangu ni kuelewa kwa ukweli na ufasaha zaidi mambo mbali mbali (sana sana ya kisiasa) yanayoendelea nchini kwetu.