Tunatengeneza tatizo hili leo kesho tunalitatua.
Mfano ni issue ya kikokotoo hii issue wabunge waliitengeneza lakini naamini siku ya Mei Mosi inaenda kutolewa na rais na tutampigia makofi mengi.
Kumbe jambo lilitengenezwa ili baadaye mtu aje ajichukulie point 3 muhimu.