Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,154 16,237 Jun 24, 2011 #2 itakuwa wachina wananaka kufyatua macbook fake
Chris_Mambo JF-Expert Member Aug 11, 2010 596 121 Jun 24, 2011 #4 Mac book has got no copy! They are all original!!
S Sharo hiphop JF-Expert Member May 17, 2011 660 100 Jun 24, 2011 #5 Cjaelewa kitu, ila nahisi ni photocopy machine ya mchina.
i411 JF-Expert Member Mar 23, 2011 906 290 Jun 25, 2011 #6 hiyo ni maana nyingine ya intel inside ya kichina
daughter JF-Expert Member Jun 22, 2009 1,275 746 Jun 25, 2011 #8 Mtakatifu Ivuga si utueleweshe.........
Omukuru JF-Expert Member Nov 4, 2010 242 39 Jun 25, 2011 #9 Mi naona kama jamaa alitaka ku-scan ku-print kitu kutoka kwenye ipad
NDINDA Platinum Member Apr 4, 2011 10,332 47,084 Jun 25, 2011 #10 Imo , anamaanisha hakuna kukopi, no copying
Magulumangu JF-Expert Member Jan 7, 2010 3,047 455 Jun 25, 2011 #11 Saint Ivuga said: Click to expand... Photocopy no...hahhhahahahahaha wachina wanalo
Averos JF-Expert Member Aug 6, 2010 993 695 Jun 26, 2011 #12 Hapa ni kuonyesha kuwa hairuhusiwi ua haiwezekani kutengeneza computer fake za mac
H Haika JF-Expert Member Mar 3, 2008 2,348 559 Jun 26, 2011 #13 hivi wataalamu mnielewesha kama kama kuna hp laserjet ya Apple?
Xkalinga JF-Expert Member Sep 10, 2010 476 316 Jun 27, 2011 #17 mashine ina miali/mionzi ya hatari hivyo usitoe photocopy
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Jun 29, 2011 #18 Inamaanisha usitoe copy bila kuifunika kwa cover lake.