jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
- Thread starter
- #81
We kweli wa ngirini ,,maana huo mwaka ni hatar na miaka yakoMimi mwaka 1946 nikiwa na miaka 15
We kweli wa ngirini ,,maana huo mwaka ni hatar na miaka yakoMimi mwaka 1946 nikiwa na miaka 15
Mtani acha uongo!!Duu mi bado.
Ameeeeeen!Hongera sana binti. Nami nataka binti yangu ajitunze kama wewe...
Miaka mingap wewe uende jukwaa la dinKweli Nimezeeka. Jukwaa La Wakubwa Please Moderators
Watu kama wewe ndio wanahitajika kwenye jamiimimi kwa kweli nikiwa na miaka 25 ndo nilianza kwa kweli mpaka sasa sijatulia kabisa watu wananiambia nioe lakini hapana ngoja ninyooshe goti tu mpaka hapo nitakapo tulia
asante Loya... nashindana na majaribu yoteHongera sana binti...
Huko utaenda kupofuka macho kama uzoefu hujaupata huku mwanzoni rafikmimi ndo kwanza najitayarisha nikianza chuo tu natafuta wangu
Uzinduz mwema baaab ,gad ata wa blessnazindua rasmi 2020
Mwenyezi atakusaidia kwa kweliasante Loya... nashindana na majaribu yote
Amesahau kua alipost juzi kukimbiwa na dem time ya mwisho au labda ndo alikua anajitoa bikrayule demu aliekukimbia kisa ID ya JF vip?
Acha weh! we ni noma la pil?83 Nikiwa la pili
Kweli vile, kama umefahamu hebu nifahamisheSunter hadi ww
haha itakua kweli,,au alimpostia rafiki yakeAmesahau kua alipost juzi kukimbiwa na dem time ya mwisho au labda ndo alikua anajitoa bikra
Ukumbuki juzi ulisema umekimbiwa na demu bab?Kweli vile, kama umefahamu hebu nifahamishe
umeyasikia mwaka gan?Nimesikia shule za msingi Dar es Salaam wamekithiri kwa kufirana. Bila shaka ulisoma hizo shule ukajifunza ya umri wa wakubwa na yasiyoruhusiwa
Da we acha tu halafu mnafanana akilinimesikitika kumbe humu tunajibizana na vitoto vya secondary?
