Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
UMBEA NOMA!
bint kakaa kwenye daladala
anaandika SMS, huku kashika
kibegi chake. Mzee m1 pembeni
akawa anakomaa kuangalia bint
anaandika nn! Bint kastukia,
akaamua kuandika hiv:
"Yule nyoka utakua hujamtoa meno
ya sumu, anasumbua kwenye begi
anataka kutoka, cjui nfanyeje na
alivyo mkubwa itakuaje?"
Mzee kuona vile akasogea pembeni;
bint nae hakumchelewesha,
akamrushia begi!
Mzee kakurupuka, kelele; Nyokaa
nakufaaa!
Bint: ukome kusoma sms za watu.
jioni njema
bint kakaa kwenye daladala
anaandika SMS, huku kashika
kibegi chake. Mzee m1 pembeni
akawa anakomaa kuangalia bint
anaandika nn! Bint kastukia,
akaamua kuandika hiv:
"Yule nyoka utakua hujamtoa meno
ya sumu, anasumbua kwenye begi
anataka kutoka, cjui nfanyeje na
alivyo mkubwa itakuaje?"
Mzee kuona vile akasogea pembeni;
bint nae hakumchelewesha,
akamrushia begi!
Mzee kakurupuka, kelele; Nyokaa
nakufaaa!
Bint: ukome kusoma sms za watu.
jioni njema