Mbona hofu wanayo tangu siku nyingi? Na jana ilikuwa ndo sendoff ya ccm, nadhani kama ulikuwepo CHADEMA SQUARE (Jangwani) uliona walivyopewa nasaha za kuishi maisha mengine ya baada ya 2015. PIIIIIOOOOPPPPPLLLLLEEEESSS POWERRRRRR.Wahofia kukabidhi nchi 2015.
Magamba kweli vichwa vigumu kuelewa hakuna mtu aliobebwa kwa fuso, hakuna aliopewa 10,000= kuhudhuria taarifa ni kawaida kutoa kwa wanachama.kutokana na promotion iliyokuwa imefanywa na cdm sisi ccm hatuna cha kuhofia
Wahofia kukabidhi nchi 2015.
wahi shule mkuu hujachelewa! Ujumbe haujawa delivered