ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Japokuwa hali ya maisha imebana, lakini tunaweza kuwa wabunifiu..Tulipoelezwa kuwa hatuwezi kutumia rasilimali zetu kama madini kujiendeleza, walitupumbaza sana.
"nashukuru sana wote wanaosahihisha huu mtihani wangu, nitakapofeli nitaendelea na fani yangu ya bongo fleva, majita yangu yako levo za juu na sio East zuu, ukiona vyaelea ujue vimeundwa"
(C) mtainiwa Kidato cha nne 2011.
(C) mtainiwa Kidato cha nne 2011.